Recent content by Nge6

  1. Nge6

    Nani ameshawahi kupata Kazi au internship kupitia TaESA (Tanzania Employment Agency)?

    Imekuchukuwa muda gani mkuu baada ya kufanyiwa usaili?
  2. Nge6

    DOKEZO Kero yangu kuhusu utaratibu wa 'refund' kwa Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology (DIT)

    Andika barua ya kuomba pesa iliozidi ilipie mchango fulani mwaka unaofuata kama mwaka husika umesharipia kila kitu.
  3. Nge6

    Mratibu Elimu kata ya Kabarimu wilayani Bunda anadhalilisha Walimu

    Hawazisomi sheria na miongozo ya kazi zao! Wacha wapelekeshwe tu
  4. Nge6

    Crasher ya Kuvunjia Kokoto Inahitajika

    Dar es salaam mkuu
  5. Nge6

    Crasher ya Kuvunjia Kokoto Inahitajika

    Habari za muda wadau! Kuna kazi Kubwa ya kutengeneza kokoto kwaajili ya ujenzi wa barabara. Kama una-crasher au unamfahamu mtu alienayo. Nitafute What'sApp kwenye namba (....). Zimeshapatikana tayari! Asanteni!
  6. Nge6

    Simba wapewa 3% za kubeba ubingwa CAFCL

    HATA HIZO TATU NI NYINGI. WACHEZAJI WA SIMBA WAZITO HALAFU BADO WAPO OLD AGE KICHWANI.
  7. Nge6

    Nimemsikia Sheikh Ponda akisema kuwa hakubaliana na Wizara ya Katiba na Sheria kupeleka muswada wa umri wa ndoa kuwa miaka 18

    Usipende kuwa jumuishi kama unazungumzia maoni ya watu. Ungeonekana huna mihemko kama ungetumia 'asilimia kubwa' au 'wengi'. Siku nyingine usiwe mjinga. Sawa?
  8. Nge6

    Waasi wa M23 Wamedhibiti mji wa Bunagana uliopo Mpakani mwa DRC na Rwanda

    Kuna wakazi wanasema wameogota vitambulisho vya wanajeshi wa Rwanda baada ya uvamizi wa M23.
  9. Nge6

    COVAX: Mpango wa Chanjo ya Covid-19 wa Bill Gates na mke wake

    Jikite katika hoja yake mkuu! Kwanini tuulingize taifa zima katika jaribio hili hatarishi hasa walinzi wetu hawa?
Back
Top Bottom