Mbona repeat semester ,discontinue,Sup and carry ni tishio.
Mambo hiyo ni too much sana katika hicho chuo,istoshe Rais wa chuo hicho hana neno kwa wale ambao hurudia semester hasa baada ya kuchelewa kulipa ada kwa wiki moja,watu wenyewe ni in service ,wanalipa penalties lakini ,wana repeat,wadau...