Recent content by Ngassa 21

  1. Ngassa 21

    Nokia lumia 820

    Nokia Lumia 820. katika pita pita yangu hasa Youtube kucheki review ya simu nimegundua ni simu nzuri sana! Tatizo ni moja tu linaloikabili.. Unajua Platform ya Windows Phone haijawa na applications nyingi tofauti na Android na IOS. hilo tu ndo tatizo zaidi ya hapo ni simu nzuri sana.
  2. Ngassa 21

    msaada Chaneli zinazopatikana ktk decoda ya DIGITEK?

    Salamu wana JF, ninaomba kujua kwa mtumiaji wa decoda ya DIGITEK. Ni channel zipi zinazopatikana? Maana me sijui kabisa :A S 39: Natanguliza Shukrani..
  3. Ngassa 21

    Msaada kuweka tv (flat screen) kwa ukuta bila kutoboa ukuta.

    Nimevutiwa na Idea yako kaka, tatioz linakuja hii kitu naweza ipata wapi sasa. maaa tayari ushanipa mwangaza nashukuru sana.
  4. Ngassa 21

    Msaada kuweka tv (flat screen) kwa ukuta bila kutoboa ukuta.

    Nimevutiwa na Idea yako kaka, tatioz linakuja hii kitu naweza ipata wapi sasa. maaa tayari ushanipa mwangaza nashukuru sana.
  5. Ngassa 21

    Sharo kampigia gal wake usiku wa manane kumuonesha amekimaster kizungu

    Babe: Hallo.. Sharo: hey swtie are u eyes?? Babe: Nini?? Sharo: are u eyes?? Babe: bwana sikuelewi, unasemaje? Sharo: nasema hivi are u eyes?? Babe: naona hauna la maana me nakata simu.. Sharo: Ooh! sorry mamie namaanisha uko macho?
  6. Ngassa 21

    Mikoa ya kuanzia maisha

    Nafkiri wewe msomi ndo utuambie..:confused2:
  7. Ngassa 21

    Zuku tv kiboko

    Kiukweli tunapoongelea swala la Decoda ipi nzuri kuna mambo kadha wa kadha ya kuzingatia.. mambo kama gharama, signal (Picha na sauti), Burudani inayotolewa na kampuni husika n.k. Ninachoweza kusema hebu tujaribu kuangalia ww binafsi unahitaji nini na unaweza lipia nini? Kwa maana nyingine fanya...
Back
Top Bottom