Mkuu hayo matangazo yanarushwa kutoka Arusha Mjini na sio tofauti na hapo. Ninavyofikiri mimi hapo TBC wameandika ARUSHA - MJINI wakimaanisha kuwa wanarusha matangazo kutoka Arusha Mjini,sijaona tatizo bado. Na hii inakuwa rahisi kwa mtu yeyote anayetazama haya matangazo kujua kinachooneshwa...
Majivuno Wakati Mwingine Hayafai, Jamaa Mmoja Alipanda Daladala Mara Simu Ikaita,, Jamaa Akaitoa Mfukoni Kuangalia Ni Mke Wake Anapiga!! Jamaa Kwa Kutaka Kujionyesha Akaweka Loud Speaker Jamaa Akamuuliza Mke Wake."Saivi Tu Umenimiss Mke Wangu Au Tatizo Nini Niambie Basi Babby"...
Japo mimi sio mfanyakazi wa Marangu Coach naomba nichangie uzi huu kidogo sana:
1. Basi la abiria linabeba watu wengi na yawezekana wakawa wanatofautiana kimitazamo,tabia,imani,umri,vionjo,kiwango cha elimu,uelewa,nk. Hivyo sio ajabu kukuta wewe unapenda kwenye basi uangalie filamu wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.