Natafuta wimbo wa Mr 2 a.k.a Sugu unaitwa Barua ya wazi kwa Rais. Huu wimbo Sugu alizungumza vitu vingi kuhusu mwenendo wa Uchumi na uongozi wa nchi Wakati wa utawala wa Mkapa. Nimeutafuta sana bila mafanikio.
Huyo Lowassa hana sera hata moja sasa unataka clouds wafanyaje. Yeye aendelee na kusema peoples tuone kama hao peoples watampeleka ikulu pasipo kuwa na sera nzuri
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vya chama hicho kuanza mwezi huu ikionyesha mchakato wa kuchukua fomu za kuwania kugombea urais utafanyika wakati makada wake sita waliofungiwa wakiendelea kuwa kifungoni.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Katibu wa Halmashauri Kuu...
Nadhani Masaburi amewajibu vizuri zana hao wapuuzi wanaokesha kutunga uongo usio na kichwa wala miguu, yaani tangu msiba utokee unawiki sas imepita halafu mama Tunu Pinda aje kulalamika leo. Siku zote alikua wapi.
Vijana acheni kutumika huyo Lowassa wenu ni bora mumtangaze kuwa Rais wa Jamhuri...
Endeleeni kumtekenya huyo bwana wenu lowassa kisha ajichekeshe kicheko cha kujivunja mbavu lakini safari hii ataikoga aibu kuliko ya Richmond. Time will tell
Mkuu Narenanyuki naungana na kauli yako ni kweli leo Mizengo Pinda dunia inamkumbuka lile chozi alilia kama mzazi lkn pia kama kiongozi alisimamia sheria kuwapa nguvu jeshi la polisi kudhibiti mauaji ya Albino. Mtakumbuka kwa muda ule ilikua haipiti siku tunapata taafufa za mauaji ya albino lkn...
Ocampo four nakupuuza kama ninavyopuuza thread zako za kumtetea huyo fisadi wako Lowassa. Ukweli ni kwamba Waziri Mkuu Mizengo Pinda hawezi kufikiria kumshughulikia moja ya mawaziri wake kisa tu eti walitaka kumchafua. Pinda ni kiongozi mwenye busara hawezi kufanya mambo ya kipuuzi kama hayo...
Kama kweli mnaimani kuwa Lowassa atakuwa Rais wa nchi hii hamna sababu ya kutembea uchi, hiyo ni dalili ya kuwa na kihoro cha mgombea wenu kutolewa hatua za awali kabisa
Ocampo four et al u all know what sort of game you are playing, don't twist our minds. If what John Okello says is correct n genuine then wouldn't be difficult to prove with evidence. As Unga ltd suggested John Okello should have came with evidence to justify his post. Otherwise I will regard it...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.