narenanyuki
Member
- Nov 6, 2014
- 26
- 9
Kweli hawafanani kabisa huyu mzee wa kulialia yule mzee wa amri tu!halafu hii tabia ya kumchgulia mtu upande wa kuwa umeitoa wapi?au ndivyo ulivyoaminishwa kuwa huwezi kuona upungufu wa huku mpaka uwe kule???
Wewe unasema mzee wa kulialia lkn Albino leo wanakumbuka chozi la Mtoto wa Mkulima na dunia inahuzunika kwa ukatili huu