Pinda azidi kuonesha makali

Pinda azidi kuonesha makali

Kweli hawafanani kabisa huyu mzee wa kulialia yule mzee wa amri tu!halafu hii tabia ya kumchgulia mtu upande wa kuwa umeitoa wapi?au ndivyo ulivyoaminishwa kuwa huwezi kuona upungufu wa huku mpaka uwe kule???

Wewe unasema mzee wa kulialia lkn Albino leo wanakumbuka chozi la Mtoto wa Mkulima na dunia inahuzunika kwa ukatili huu
 
wao ndo wanahitajika wahojiwe kwa nini wanawaacha watumishi eneo moja muda mlefu!!! hayo ni majukumu yake!! ni sawa na mwalimu kufundisha darasani..
 
Wewe unasema mzee wa kulialia lkn Albino leo wanakumbuka chozi la Mtoto wa Mkulima na dunia inahuzunika kwa ukatili huu

Mkuu Narenanyuki naungana na kauli yako ni kweli leo Mizengo Pinda dunia inamkumbuka lile chozi alilia kama mzazi lkn pia kama kiongozi alisimamia sheria kuwapa nguvu jeshi la polisi kudhibiti mauaji ya Albino. Mtakumbuka kwa muda ule ilikua haipiti siku tunapata taafufa za mauaji ya albino lkn nyinyi ni mashahidi takwimu za mauji na ukataji wa viungo vya albino imeshuka tofauti na kipindi kile.
Kosa kubwa ambalo tulilifanya hatukumuunga mkono Waziri Mkuu tukaendekeza personal attacks kwa Mizengo Pinda kwa maslahi ya wanasiasa wasaka tonge
 
Mkuu Narenanyuki naungana na kauli yako ni kweli leo Mizengo Pinda dunia inamkumbuka lile chozi alilia kama mzazi lkn pia kama kiongozi alisimamia sheria kuwapa nguvu jeshi la polisi kudhibiti mauaji ya Albino. Mtakumbuka kwa muda ule ilikua haipiti siku tunapata taafufa za mauaji ya albino lkn nyinyi ni mashahidi takwimu za mauji na ukataji wa viungo vya albino imeshuka tofauti na kipindi kile.
Kosa kubwa ambalo tulilifanya hatukumuunga mkono Waziri Mkuu tukaendekeza personal attacks kwa Mizengo Pinda kwa maslahi ya wanasiasa wasaka tonge

Eti saa hz ndo wakina Mwigulu wanajidai wamefikwa si unafiki tuuu siku zote mlikuwa wapi?
 
ccm itamleta huyo kilaza?
Itakuwa ni rahisi sana kumpeleka kibla na li ccm lenu.
Wote Whitehead huyo cri du chat ni wepesi sana.
Huyo cri du chat eti anaamuru watu wapigwe na polisi,watu wauwawe!
Kweli cri du chat ni mpumbav kama alivyosema yule mheshimiwa rais wa kusini.
 
ameshachelewa aone uchaguz ndo ajifanye mkali hanalolote ni dhaifu tu hatufai

Kwahyo ulitaka akurupuke kufanya maamuzi, kajipange upya. Tunahitaji kiongozi mwenye busara na hekima, muadilifu na mchapa kazi kama Pinda
 
Kwahyo ulitaka akurupuke kufanya maamuzi, kajipange upya. Tunahitaji kiongozi mwenye busara na hekima, muadilifu na mchapa kazi kama Pinda
wakati ameendelea kukurupuka,muuliza kama kuna bajeti ya kuhamisha hao watu ghafla ivo
 
Sasa makali ni nini hapo? i can only see weakness in that, hayo ameyaona juzi?
 
Back
Top Bottom