Bibi yake baba tulipotaka kumzika sehemu tofauti na aliyotaka yeye tulishindwa kuchimba kaburi ardhi aikufunguka kwa kitu chochote unachokijua wewe hadi pale alipombwa kuwa baadae watahamisha kaburi.kwakuwa wakati huo kulikuwa hakuna mtu ambaye alikuwa na uwezo wa kuusafisha mwili huo.ambaye...
Sheria iliyopitishwa na bunge yaweza kuwa nzuri shida kwa hawa wasimamizi wa utungaji wa kanuni. Na ndiyo hasa shida vinginevyo ungesikia statement zao sheria irejewe bungeni na sio kanuni. Kwakuwa kanuni wametengeza wao ndiyo wameamua kwenda kuzirejea. Kwahiyo wafukuzwe kabisa. La tungesema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.