Recent content by ngara23

  1. ngara23

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    🤣😄Fatuma akipiga hakosei
  2. ngara23

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    Hawa Gen Z hawajui habari za majambazi Zamani ilikuwa risky sana Mtu anauza mazao, mifugo, au mshahara unapokea mkononi halafu Ile night wanaingia wahuni kuchukua chao
  3. ngara23

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    Majambazi mengi yalikuwa kwenye pori la Biharamulo Ile Lusahunga ilikuwa hatari Wahuni wanapiga tukio kama serikali haupo Polisi walikimbizwa Walikuwa wakisikisikia tu mlio wa bunduki wanahepa
  4. ngara23

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    Kuna hili pori la kutoka Geita kwenda KATORO ni kubwa mno Sijui matukio ya miaka hiyo ya black and white
  5. ngara23

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    Pole sana mkuu
  6. ngara23

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    😄🤣😄
  7. ngara23

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    Kweli ilikuwa hatari sana mkuu
  8. ngara23

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    Sisi millennials tupeane story za ujambazi wa kutisha uliotikisa miaka ya 2000 kurudi nyuma Watu wa mkoa wa Kagera tukumbuke Yale mapori ya Kasindaga na Kimisi, Pale wahuni waliuwa na kuibia watu kibabe sana Namkumbuka ilikuwa 1998 nikiwa mdogo mno, nadhani chekechea. Usiku wa manane...
  9. ngara23

    JamiiForums Tanzania Hivi Arsenal hawaogopi? PSG hii si ya mabishoo wanaotembea uwanjani

    Arsenal hawana presha wala cha kupoteza Kiu yetu ilikuwa kombe la EPL Hiyo UEFA ni bonus tu Kesho tunachukua hili kombe
  10. ngara23

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Happy Birthday Mahondaw ❤️

    🤣😄😄 Just joke Enjoy your day mmy
  11. ngara23

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Happy Birthday Mahondaw ❤️

    Happy birthday mke wangu Mahondaw
  12. ngara23

    JamiiForums Tanzania Diwani wa CCM, Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za taifa; Je, kama taifa tumekubaliana na hili?

    Manara ashapoteza mvuto Wakati wake ushakwisha
  13. ngara23

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Polisi hakikisheni ‘Vi-clip clip’ visirushwe, msimame kwenye mambo yenu

    Tuna bahati mbaya sana kama taifa
Back
Top Bottom