Hawa Gen Z hawajui habari za majambazi
Zamani ilikuwa risky sana
Mtu anauza mazao, mifugo, au mshahara unapokea mkononi halafu Ile night wanaingia wahuni kuchukua chao
Majambazi mengi yalikuwa kwenye pori la Biharamulo Ile Lusahunga ilikuwa hatari
Wahuni wanapiga tukio kama serikali haupo
Polisi walikimbizwa
Walikuwa wakisikisikia tu mlio wa bunduki wanahepa
Sisi millennials tupeane story za ujambazi wa kutisha uliotikisa miaka ya 2000 kurudi nyuma
Watu wa mkoa wa Kagera tukumbuke Yale mapori ya Kasindaga na Kimisi,
Pale wahuni waliuwa na kuibia watu kibabe sana
Namkumbuka ilikuwa 1998 nikiwa mdogo mno, nadhani chekechea.
Usiku wa manane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.