Recent content by ngara23

  1. ngara23

    JamiiForums Tanzania Nataka kwenda kumpa pole Samia Suluhu Hassan. Naanzia wapi?

    Nenda Kizimkazi yupo amejaa tele
  2. ngara23

    JamiiForums Tanzania Daktari Bingwa wa Mloganzila, Conrad Agonza, anayedaiwa kumshambulia Trafiki afikishwa Mahakamani, 10/09/2026

    Madaktari muungeni mkono mwezenu. Akija mgonjwa polisi mfurahishe
  3. ngara23

    JamiiForums Tanzania Nauliza tu, hivi hawa watu wote wanaoenda Kizimkazi wanatoa pesa za rambrambi?

    Kujipendekeza tu
  4. ngara23

    JamiiForums Tanzania Kwa majibu ya uislam: Rais Samia kukaa nje ya ofisi na kutokuoneka hadharani Kwa miezi minne na masiku 10

    Se Serikali haina dini ila watu wana dini
  5. ngara23

    JamiiForums Tanzania Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Samia Suluhu Hassan, Tushamfukia tayari.. Amekufa mapema

    Haya kamfufue basi kama una uwezo. Acheni kiburi hicho kiburi ipo siku utafukiwa na hutaamka tena. Watendeeni watu yaliyo mema
  6. ngara23

    JamiiForums Tanzania Kwa majibu ya uislam: Rais Samia kukaa nje ya ofisi na kutokuoneka hadharani Kwa miezi minne na masiku 10

    Ngoja Bakwata wake kumtetea muislam mwenzao
  7. ngara23

    JamiiForums Tanzania Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Samia Suluhu Hassan, Tushamfukia tayari.. Amekufa mapema

    Abduli hajamzika babake?
  8. ngara23

    JamiiForums Tanzania Kwa majibu ya uislam: Rais Samia kukaa nje ya ofisi na kutokuoneka hadharani Kwa miezi minne na masiku 10

    Binafsi natoa pole za dhati Kwa msiba mzito wa Mme wa Rais Mzee Hafidh Uislam unaekeza baada ya mwanamke kufiwa na mmewe akae Idda' Kwa muda wa miezi minne na masiku 10 1. Mwanamke aliyefiwa na mmewe akae kwenye nyumba aliyeishi na mmewe na alale kitanda hiko bila kuhama Kwa miezi minne na...
Back
Top Bottom