Umaskini ni Ndana ya Fikra tu (Mind trap). Ishi tokana na uwezo wako usinjilinganishe na mwingine kamwe. Ukifikiria tu kwamba WEWE maskini, una tatizo la Fikra. Nani ameweka vigezo VYA umaskini? WAO. Kwa Nini fedha Yako wanaishusha thamani? Kwa Nini dhahabu, kahawa, pamba, tumbaku, chai...