Kama wewe ni makini?

Kama wewe ni makini?

Corruption
Political instability
Poor gvt support
Nepotism
Poor infrastructure
Poor gvt policy
Poor environment support
Peer pressure
Poor social believe
Poor gvt planning
 
Andika sababu ya umaskini wako na njia za utatuzi👇👇👇
Umaskini ni Ndana ya Fikra tu (Mind trap). Ishi tokana na uwezo wako usinjilinganishe na mwingine kamwe. Ukifikiria tu kwamba WEWE maskini, una tatizo la Fikra. Nani ameweka vigezo VYA umaskini? WAO. Kwa Nini fedha Yako wanaishusha thamani? Kwa Nini dhahabu, kahawa, pamba, tumbaku, chai wanaishusha thamani aua Bei? Kwa Nini? Kwa Nini wanapora mali za watu, Kwa Nini wasinunue Kwa Bei halali? FIKRA ndio msingi wa Maendeleo. Kwa Nini wanatuwekea masharti magumu kwenye MIKOPO? ILI USIENDELEE. Lazima kuwe na Producer na Consumers. UkisMuhimu kutimiza mahitaji muhimu ya Maisha (Chakula, Malazi, Afya na Elimu) na kuwa na ujuzi ili ufanye KAZI ya kupata Ujira(Fedha za matumizi), mengine ni mbwembe na majivuno tu. Elimu ya Kila MTU awe tajiri ni ujinga, hii Ina maana vidole vyote view sawa. Kusiwe na wafanayakazi wote matajiri, nani atafanya KAZI? ROBOT. Je umeumbwa kufanya kazi au kustahere tu?
 
Nchi niliyozaliwa. Ningekuwa nchi kama Denmark au Japan nisingekuwa makini.
 
Umasikini ni fikra tu iliyowekwa na mabepari kukufanya ununue bidhaa kutoka kwao ili uthibitishe wewe siyo masikini.

Kama una afya njema, unakula, unalala, una demu, hauombi ombi, mengine ni majaaliwa
Stor ya jaba
 
Back
Top Bottom