Nimeipenda,mm ishanitokea nikaachwa baada ya muda nikapata kazi tena yenye hela nzuri.nimeoa sasa sijui huyu kanipendea hela au maana nilishindwa kabisa kupima.[Ngaliba]
Sifa za mtu au kabila ni watu wa nje ndio wanaona so tumsaidie dada yetu.Ukweli kwasas huwezi tofautisha tabia za makabila,waulizie watu walio karibu nae upate sifa zake.ukitaka hizi za makabila utalia na kukata tamma.NGALIBA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.