Haya mambo si mapya tz ila inakua tatizo wakifanya cdm eeh?. Miaka ya '80 hadi leo hao chipkizi wanaotumiwa na ccm sio wanafunzi? Tena they are primary pupils.mmesahau ya shinyanga ambapo walitaka andamana kwa kutokulipwa baada ya kufanya alaiki! Mimi mwenyewe nilionywa pale iguguno sec.school...
Kuhusu bei ya kokoa nitaimarisha kyecu ili tuuze organic cocoa wenyewe abroad,kuhusu afya yote yanawezekana kutumia maji ya mito mbaka,lufilyo na kiwira kuondoa tatizo la maji linalopelekea kipindupindu,elimu nitahakikisha nawaelimisha vijana fulsa zilizopo kyela ili wakafanye kazi na kuwa you...
Sio kila kitu unajua mnyika nimesoma nae pale BA BUSINESS ADMINISTRATION but alivyotangaza kugombea ubunge 2005 wakamuundia zengwe! so is true it was evening programmes!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.