TabletFellow
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 918
- 272
Tuwekee hiyo link
akili fupi ni laana kuliko kukosa viungo
google sio lazima upewe link
Tuwekee hiyo link
Ikishuka pia inaweza kuuwa.Ikishuka ikimpata mtu madhara ni yaleyale,tegemea na itakapoland..kufyatua risasi hewani haiwezi kuua mtu.
Risasi itaenda hewani.
tangu miaka ya 1990 alikuwa anatuhumiwa kwa ujambazi na inasemekana aliishia form 2 huko Kenya na aliporudi alifanya ujambazi ndo ukamsaidia kupata fedha! Alikuwa analalamikiwa sana kuwadhurumu wananchi ardhi '' akipenda tu eneo lako lazima anakutafuta visa mpaka analipata'''za mwizi arobaini wananchi wa Kisesa walisha mkosa zaidi ya mara 3 lakin alikuwa akiokolewa na polisi! Huyo ndo mwenyekiti mstaaafu wa CCM wa Mwanza
kufyatua risasi hewani haiwezi kuua mtu.
Risasi itaenda hewani.
Afu huyo mtoa taarifa wa polisi anajuaje kuwa dhamira ya MABINA haikuwa kuuwa hali polisi hawakuwepo kwenye eneo la tukio?, kuuwa kwa kudhamiria au kutodhamiria ni siri iliyokuwa moyoni kwa Mabina na kaondoka nayo, so polisi acheni longolongo zenu
Na wananchi walijua kuwa polisi itakuja na ngonjera km hizi ili kumtetea mtu wao.