Mabina wa CCM auawa wananchi Mwanza

Mabina wa CCM auawa wananchi Mwanza

tangu miaka ya 1990 alikuwa anatuhumiwa kwa ujambazi na inasemekana aliishia form 2 huko Kenya na aliporudi alifanya ujambazi ndo ukamsaidia kupata fedha! Alikuwa analalamikiwa sana kuwadhurumu wananchi ardhi '' akipenda tu eneo lako lazima anakutafuta visa mpaka analipata'''za mwizi arobaini wananchi wa Kisesa walisha mkosa zaidi ya mara 3 lakin alikuwa akiokolewa na polisi! Huyo ndo mwenyekiti mstaaafu wa CCM wa Mwanza

Huo ni mwanzo tu hata kwenye biblia imeandikwa,aliyeua kwa upanga na yeye atakufa kwa upanga huohuo.Sasa watanzania wameanza kuchoshwa na ubabe wa waovu ambao wanatumia mgongo wa serikali kudhulumu watu wananchi.Na bado,Gasper Kileo (GAKI) muweka hadhina wa chama cha mapinduzi mkoa wa shinyanga/mfanyabiashara wa pamba na swaiba wako Salum Salum Mbuzi ambaye aliwahi kuwa mbunge pia mjiandae,siku zenu zinahesabika maana na nyie hamna tofauti na mabina.Mwenzenu keshatangulia na nyie mtafuata soon!!!Habari ndo hiyo saizi wananchi hatuendi mahakamani wala polisi ni kutusua tu afu tunakula kona maana tumegundua dola nayo ni rushwa tupu !!!!!Kwahiyo wewe GAKI,mwambie na mwenzio MBUZI kuwa siku zenu zinahesabika nyie si mnatumia mgongo wa serikali ya chama cha mapinduzi kufanya ukafiri wenu mtatujua ss kama wasukuma tumeshasala manina!!!!!
 
Huo ni mwanzo tu hata kwenye biblia imeandikwa,aliyeua kwa upanga na yeye atakufa kwa upanga huohuo.Sasa watanzania wameanza kuchoshwa na ubabe wa waovu ambao wanatumia mgongo wa serikali kudhulumu watu wananchi.Na bado,Gasper Kileo (GAKI) muweka hazina wa chama cha mapinduzi mkoa wa shinyanga/mjumbe wa NEC taifa/mfanyabiashara wa pamba na swaiba wako Salum Salum Mbuzi ambaye aliwahi kuwa mbunge pia mjiandae,siku zenu zinahesabika maana na nyie hamna tofauti na mabina.Mwenzenu keshatangulia na nyie mtafuata soon!!!Habari ndo hiyo saizi wananchi hatuendi mahakamani wala polisi ni kutusua tu afu tunakula kona maana tumegundua dola nayo ni rushwa tupu !!!!!Kwahiyo wewe GAKI,mwambie na mwenzio MBUZI kuwa siku zenu zinahesabika nyie si mnatumia mgongo wa serikali ya chama cha mapinduzi kufanya ukafiri wenu mtatujua ss kama wasukuma tumeshasala manina!!!!!Mmeua sana ndugu zetu,mmetajirika sana kupitia damu za ndugu zetu na ujambazi wenu wa kutumia silaha.Mmesababisha wasukuma tumekuwa watumwa katika mkoa wetu wa shinyanga,tumekuwa watumwa kwenu.Najua mnamiliki silaha kama mabina lakini siku yenu ikifika mtaua mtu mmoja tu,hamuwezi kushindana na nguvu ya umma hakika nawaambieni.Saa ya ukombozi ishafika kwa kabila langu la wasukuma juu yenu mtafute pa kwenda hakika!!!Sina mengi atakayepata ujumbe huu aende akawataarifu hao majangili na majambazi sugu wa mkoa wa shinyanga tokea miaka ya 1990,mbaya zaidi wanalindwa na serikali!!!
 
Afu huyo mtoa taarifa wa polisi anajuaje kuwa dhamira ya MABINA haikuwa kuuwa hali polisi hawakuwepo kwenye eneo la tukio?, kuuwa kwa kudhamiria au kutodhamiria ni siri iliyokuwa moyoni kwa Mabina na kaondoka nayo, so polisi acheni longolongo zenu

kilichotokea alituma mafundi wakachimbe msingi, walipofika wananchi wakawatimua, mafundi wakampigia simu Mabina kuwa wamefuuzwa, ndipo alipotoka na bunduki aina ya Rifle na kwenda nayo mpaka eneo la tukio na kuana kutoa lugha za matusi mpaka yaliyotokea yakatokea! huyu hakudhamiria kuua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!???
 
Na wananchi walijua kuwa polisi itakuja na ngonjera km hizi ili kumtetea mtu wao.

siku za nyumba walishataka kumgawana lakini alikuwa akiokolewa na polisi karibu mara nne naona juzi walitimiza azma yao! mabina ni sawa na Nduli Idd Amini Dada
 
1549346199920.png
 
Hali hiyo, wanaielezea ilisababisha kuanguka chini na wakazidi kumshambulia hadi wakahakikisha amekufa huku vijana wake wa kazi wakiingia mitini.

Ofisa wa Polisi ambaye hakutaka jina lake litajwe kwa kuwa yeye si msemaji wa jeshi hilo, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo. Taarifa hiyo ya Polisi ilieleza kwamba, mgogoro huo ulizuka baada ya wananchi hao kumtuhumu Mabina kuwa ana mpango wa kuuza eneo lao la kijiji
kwa mwekezaji.

Ni mapema mno kuelezea tukio hili kwa undani hasa ikizingatiwa kuwa mimi siyo msemaji. Subiri msemaji wa jeshi atawapa taarifa kwa undani, alisema ofisa huyo.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Christopher Fuime alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema wanaendelea kufanya uchunguzi.

Tulipata taarifa ya kuwepo kwa tukio hilo na kutuma vijana wetu kwendakutuliza vurugu, alisema Fuime. Alisema Mabina hakuwa na dhamira ya kuua, ila alijaribu kufyatua risasi hewani kwa lengo la kuwatuliza na ndipo ilipompata mmoja wao.

By Miguel Suleyman, Mwananchi
Imewekwa Monday, December 16
2013 at 08:05
Askari polisi wa tz wengi wanawalinda watuhumiwa. Mtu afyatue risasi hewani halafu impate mtu, kweli? Ama huyo aliyepatwa alikuwa hewani
 
Back
Top Bottom