mmheshimiwa inaonyesha kuna uhusiano mkubwa wa ujumla wa dini na pingamiz la udini hapa.. sasa hapo chini umesema uislam unatetewa na ponda na nihasara kwa waislam wote.. samahan kama nimeelewa ndivyo sivyo..
swala langu hapa ni hiv ponda anatetea nn na yupo ndan ya mahakama kwa lipi na wanao...
kuna kitu ulikua unakifikisha na nahis nimekupata kweni ni haki gani za kimsing ambazo hazpatkan mpaka itakapo wekwa mahakama hiyo?? labda sababu kuna sie tusio elewa tuelezewe vizuri kuhusu mahakama hii niimani yangu tuna haki ya kujua..
lakin unazan marumbano ya kiiman si ndo chanzo cha matatizo ukizngatia hakuna mwenye kwer ya kweri ya muumba.. kila mmoja ana amini yupo sahih kama mnakosoa basi isilete migogolo.. isifike wakat tuka lazmishana kuchagua upande humu.. kanch kenyewe kila mtu msaliti
ngoja kwanza bwana andate umeongea neno zito hapo.. kwamba wasio waislam wafanyweje.. unahisi hili lipo kwer au na wewe ume yaskia.. alafu mbona kwa wote hiz dini ni za kurithi.. nani anamamlaka ya kuhukumu imani ya mwenziwe..
kujib hoja ya chamviga hapo kati.. kuna mda ambapo mtu hunyimwa haki yake ya kikatiba kwa maslah ya uma.. swala ni huyu ponda ni threat because yangeweza tokea maandamano au lolote kuepuka hilo watamtib ndio lakin chin ya uangaliz mkali wa jesh la police
lakin samahanin wanajamii naweza kua wa zamani au niseye jua mengi.. lakin ningependa kufahamu kweni ponda alikua anasimamia nin na kwaufupi ni nin kipo katikat ya ponda na wa hasimu wake..
sure kama hatuto weka tofaut za kisiasa pemben na kusimamia yaliyo ya msing hakuna tutako enda.. coz naamin sio wa chama fulani pekeyao si ajab wana shilikiana na wengine wavyama tofaut.. sasa hakuna tutapo fika kama hakuna hatua za makusud tutachukua
raia kuwe na matumizi ya akili za kutosha kabla ya kuropoka. wengiwe ni watu wa karibu wame tutoka.. sasa kuanzia kwenye who is said kua mkubwa na what are qualities za ukubwa na zip ni haki za mkubwa.. kama ni kuamua then walioenda walienda because walitaka au shuruti?? sasa kama amtoto wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.