Recent content by NG`WANA ONG`WA DOYI

  1. N

    Yathibitika: kuoa wake wengi huongeza umri….!

    lazima ufe mapema kuoa huwezi kukwepa kumega mkate wa uzima,kumbuka wake 2 tu lazima utoke jasho la pua kama unawahudumia kikweli kweli utaishiwa na protini kabisa kwa hao 91,jaribu uone baba Ngina ndo utajua nyau siyo mboga.
  2. N

    Dr Lwaitama: CCM wakimsimamisha Dr. Salim A. Salim watashinda Urais

    Asungilwemwaifunga unasema"Tatizo je CCM wataweza kumasafisha tope walilompaka? Ni mpaka pale wale waliokuwa kwenye mtandao watueleze ukweli na uongo juu ya matope yale waliompaka amasivyo bado hata yeye mwenyewe sidhani kama atakuwa willing kugombea nafasi hiyo". kama kakubali kurudi kamati...
  3. N

    Dr Lwaitama: CCM wakimsimamisha Dr. Salim A. Salim watashinda Urais

    Alizaliwa 23 january 1942,mtu wa miaka 71 tunaweza sema mzee sana akina kibaki vipi, naona kama si mzee sana vile.
  4. N

    Tabia hatari katika mahusiano ya kimapenzi; Jirekebisheni.

    uongo kweli mbaya ndo maana mtu akijiangusha eneo la penati anapewa kadi ya njano uongo kwa mkeo ni zaidi ya kujianguasha eneo la penati ni kujiangusha ndani ya gori kabisa.
  5. N

    Dr Lwaitama: CCM wakimsimamisha Dr. Salim A. Salim watashinda Urais

    Ni kweli wewe na mimi hatutaki kusikia ccm vipi wengine ambao bado wanasema hawachagui chama ila itategemea mgombea gani wanaye mtaka akiwa ccm au TLP,CUFnk unawasaidiaje?
  6. N

    Dr Lwaitama: CCM wakimsimamisha Dr. Salim A. Salim watashinda Urais

    mkuu conclusion yako na kwenye hizo bold unanichanganya[/B] sababu umeeleza uwezekano wa yeye kuwa rais kutokana na mambo uliyotaja,halafu conclusion unasema huoni atapata wapi nafasi ya kuwa rais wa Tanganyika,si nalo mpaka katiba ijayo kama itaitambua Tanganyika yetu.vinginevyo wewe mwenyewe...
  7. N

    Dr Lwaitama: CCM wakimsimamisha Dr. Salim A. Salim watashinda Urais

    ni kweli huyu jamaa na mbinu zake chafu ni wa kuangalia sana mimi naomba wamchakachue ccm wenziye huko waje na kapengele kuwa yeyote aliyewahi kuhusishwa na kashifa yeyote asigombee urais.
  8. N

    Dr Lwaitama: CCM wakimsimamisha Dr. Salim A. Salim watashinda Urais

    kukimbia tena? ni sawa na paka shume limeigia kwako na kuanza kula kuku wako eti unaliachia kibanda.
  9. N

    Nitajuaje.....?.

    Najua kuna imani mbalimbali,au malezi mazuri katika familia huwa hawaruhusu kufanya tendo la ndoa.je mwana ume atajuaje kama fimbo ya Haruni inachipuka? njia pekee ni kama ulivyoambiwa na mdau kuwa asubuhi mara kwa mara mwanaume aamukapo asubuhi huwa mnara umesimama, ni kutokana neuroreflexes...
  10. N

    Dr Lwaitama: CCM wakimsimamisha Dr. Salim A. Salim watashinda Urais

    mwenye sikio na asikie lakini serikali itakubali kubadili mfumo huu wa muungano? yetu macho na masikio may be ikiondoka madarakani hilo litawezekana.
  11. N

    Dr Lwaitama: CCM wakimsimamisha Dr. Salim A. Salim watashinda Urais

    Kwanini haitowezekana kuwa na rais toka zanzibar? mkapa na kikwete si wabara si zamu ya wazanzibar au walishaacha kupokezana? au unamaanisha nini?
  12. N

    Dr Lwaitama: CCM wakimsimamisha Dr. Salim A. Salim watashinda Urais

    '.........mh.rais wewe unajua kwamba nikwambia tusimamishe mkataba na richimond ukakataa....by El"ikifika saa kila mtu anajisafisha kivyake.
  13. N

    Dr Lwaitama: CCM wakimsimamisha Dr. Salim A. Salim watashinda Urais

    penye bold kina Mwigulu anayeporomosha matusi,Nchimbi ambaye anaangalia raia wanauawa na polisi kila siku,mangula mzee wa takrima ndo wenye busara? kweli safari ya ukombozi bado ni ndefu sana
  14. N

    Wanaume kwani lazima???? Kuweni fair

    Inzi hufuata uchafu,macho kodokodo kila mwanaume anayepita,kuvaa nusu uchi kuonyesha bidhaa ulizonazo,usiku wa manane baa. mkiya solve hayo mijeba itapita mbali............kama roketi.
  15. N

    Kama mke hazai ni vema kuachana naye?

    usimuache watoto hutoka kwa Mungu "...........mwili kurudi mavumbini maana watokana na mavumbi na roho kurudia ilikotoka"nafsi na roho hutoka kwa Mungu. fanya maombi mazito pamoja na kuomba rehema sara alipata mtoto akiwa na miaka mia,KUNA JAMBO GANI LILILOGUMU KUMSHINDA BWANA?
Back
Top Bottom