Mshauri aende chap akaripoti Halmashauri. Kwa engineers Halmashauri ni kuzuri sana na isitoshe anakuwa na uhakika wa kuendelea na usajili kwa ngazi za bodi ya engineers.
Tarura ajira za muda hazina uhakika na hasa mwaka huu wa uchaguzi.
Baada ya miaka 3 akiwa kwenye ajira ya kudumu anaweza...
Ukishakuwa na kiwanja ujenzi ni rahisi sana kuliko kununua bodaboda ya milioni 2.8 au bajaji ya Milioni 12.
Kwa DSM Ujenzi.
Tofali 70 zinajengewa namfuko 1 wa cement.(hapa ndipo wanapopigwa vijana/ wajenzi wapya)
Chumba kimoja kinatumia Tofali 450 hadi 650.
Bei ya Tofali 1,100 limeshafika...
DODOMA kuna magari yenye mitambo ya kuchimba visima virefu, yapo zaidi ya magari 20, bei wanashindana,unaweza kupata kwa bei rafiki zaidi ya kutumia wachimbaji wa Tabora.
wastan wa bei ni laki 1-2 kwa mita
Shida ilianza na migomo ya walimu 1993-97 ,ikafuata na Fix fix na zigzag za Waziri Mungai, kisha kuanza kwa shule za msingi na chekechea za private, kwani huko ndio msingi wa uandishi ulipoanzia
UFAFANUZI: NAULI TRENI YA SGR DAR- DODOMA KWA 40,000 NA 31,000 KWA KAWAIDA SIYO SAWA
UFAFANUZI ;
Nimepokea ufafanuzi kutoka kwa wadau ,NAULI YA TRENI SGR asubuhi ni shilingi 40000 na 31000 jioni.
Portal ya tiketi haisemi kitu na website yao haisemi kitu kuhusu tofauti ya bei.
tunachosahau wasanii Hawaji bure kwa mapenzi yao, wao wamekuja kikazi na kimaslahi ,Hapo waandaji wamepiga pesa na ikiwezekana PCCB itupie jicho.
Msimu wa kupiga pesa huu.2015 wapo waliojenga nyumba na hawakuwahi tarajia hivyo kipato.
baada tu yakampeni
Job Position : Declaration Clark in a Clearing and Forwarding Company
Location : City Center, Daresaalaam
Qualification : Form IV Certificate and Clearing and Forwarding Certificate
Gender : Female
send CV to email : careers@dnh.co.tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.