Recent content by newmzalendo

  1. newmzalendo

    Aende wapi kati ya TARURA kwa Mkataba ama HALMASHAURI ila Perment!

    Mshauri aende chap akaripoti Halmashauri. Kwa engineers Halmashauri ni kuzuri sana na isitoshe anakuwa na uhakika wa kuendelea na usajili kwa ngazi za bodi ya engineers. Tarura ajira za muda hazina uhakika na hasa mwaka huu wa uchaguzi. Baada ya miaka 3 akiwa kwenye ajira ya kudumu anaweza...
  2. newmzalendo

    Karibu tukujengee hii nyumba ya chumba kimoja kwa mkopo

    Ukishakuwa na kiwanja ujenzi ni rahisi sana kuliko kununua bodaboda ya milioni 2.8 au bajaji ya Milioni 12. Kwa DSM Ujenzi. Tofali 70 zinajengewa namfuko 1 wa cement.(hapa ndipo wanapopigwa vijana/ wajenzi wapya) Chumba kimoja kinatumia Tofali 450 hadi 650. Bei ya Tofali 1,100 limeshafika...
  3. newmzalendo

    Gharama za kusurvey na kuchimba kisima Tabora

    DODOMA kuna magari yenye mitambo ya kuchimba visima virefu, yapo zaidi ya magari 20, bei wanashindana,unaweza kupata kwa bei rafiki zaidi ya kutumia wachimbaji wa Tabora. wastan wa bei ni laki 1-2 kwa mita
  4. newmzalendo

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Kabeji kama Kabeji, content creator, tupia na instagram/tiktok account ya kazi zako
  5. newmzalendo

    Looking for a well-paying gig (adaptability is on point hapa )

    Wish you luck, well articulated and thought-out post, PM me you might get a chance to join my Team
  6. newmzalendo

    Natafuta kazi, nimemaliza sheria Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

    Shida ilianza na migomo ya walimu 1993-97 ,ikafuata na Fix fix na zigzag za Waziri Mungai, kisha kuanza kwa shule za msingi na chekechea za private, kwani huko ndio msingi wa uandishi ulipoanzia
  7. newmzalendo

    Natafuta kazi ya kusimamia shamba/ kiwanja/ nyumba

    kazi ipo Dar,nauli unayo kufika Dar? Nikuunge na kazi. mshahara unapata wa serikali
  8. newmzalendo

    Nauli ya treni ya SGR (Dar - Dodoma) kupanda kuwa TZS 40,000/-

    UFAFANUZI: NAULI TRENI YA SGR DAR- DODOMA KWA 40,000 NA 31,000 KWA KAWAIDA SIYO SAWA UFAFANUZI ; Nimepokea ufafanuzi kutoka kwa wadau ,NAULI YA TRENI SGR asubuhi ni shilingi 40000 na 31000 jioni. Portal ya tiketi haisemi kitu na website yao haisemi kitu kuhusu tofauti ya bei.
  9. newmzalendo

    Dodoma Bei ya viwanja-Ilazo

    Nilishafanikiwa kupata kiwanja ilazo Extension kwa bei ya kizalendo.
  10. newmzalendo

    TANZIA Kanali Fabian Massawe, aliyekuwa RC Kagera afariki dunia

    Legendary Head Master wa JKT Mgulani
  11. newmzalendo

    GE2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

    tunachosahau wasanii Hawaji bure kwa mapenzi yao, wao wamekuja kikazi na kimaslahi ,Hapo waandaji wamepiga pesa na ikiwezekana PCCB itupie jicho. Msimu wa kupiga pesa huu.2015 wapo waliojenga nyumba na hawakuwahi tarajia hivyo kipato. baada tu yakampeni
  12. newmzalendo

    Nafasi ya Kazi : Declaration Clerk Clearing and Forwading

    Job Position : Declaration Clark in a Clearing and Forwarding Company Location : City Center, Daresaalaam Qualification : Form IV Certificate and Clearing and Forwarding Certificate Gender : Female send CV to email : careers@dnh.co.tz
  13. newmzalendo

    Natafuta kazi ya clearing and forwarding

    intere interesting suggestion :)
  14. newmzalendo

    Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

    Mkuu message inbox yako haipokei, nitumie phone contact ktk inbox yangu
  15. newmzalendo

    Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

    Asante ,naomba reference nimtembelee,niliingia plant nika ambulia 00
Back
Top Bottom