Teh teh...yaani wakiitwa wenye akili we nawe utapita, kweli vyeti feki lilikuwa tatizo, hasira zenu za kufutwa kazi kwa vyeti feki zisifikie hatua ya kushabikia nchi kuuzwa, haturudi huko kwenye kuifanya nchi dampo, tuko kwenye kuifanya nchi ikompiti kuuza bidhaa zake nje.
Umeona mkuu, hawa jamaa chenga kweli, eti wanajivunia kuifanya nchi dampo la bidhaa kutoka nje, Magufuli anahamasisha viwanda wao wanakuja na mbadala wa kufuta kodi 15 kwa wafanyabiashara na kufanya bidhaa kutoka nje zimwagike nchini, hawajui moja ya sababu ya colonialism hata watoto wa...
We cheka tu, lakini leo nimenotice kitu kwako, leo haukua Demiss [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], wahuni hawakawii kuchomoa betri bora tuwe tunacheka tu afu tunakaa pemben Felister
Hawa jamaa bhana ni kituko, itafikia hatua mtu fulani akitenda kosa asishtakiwe eti kwa sababu tu ni fulani, waache watu wafanye kazi zao, kama ushahidi wa makosa hayo upo kwa nini asishtakwe?
Hata mimi, huwezi mtukana mkuu wa nchi tena nje ya mipaka ya nchi afu watu wakuchekeechekee tu, kwa mujibu wa katiba, Rais kama mkuu wa nchi ndiye nembo au alama ya Taifa nje ya mipaka ya Tanzania hivyo kumtukana Rais nje ya mipaka ni kulituka Taifa, wamemstahi sana aisee.
Hivi tatizo liko wapi? kama DCI kakusanya ushahidi wa kutosha na kaupeleka kwa DPP ambaye naye kajiridhisha kwamba mtuhumiwa amefanya makosa hayo na hivyo kumpeleka mahakamani kujibu tuhuma hizo tatizo liko wapi? kwa nini tusingojee kuona ushahidi ukiwekwa mezani na mahakama aimue?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.