Nilipooa ndipo nikagundua kipato changu hakitoshi.
Kuoa kunahitaji kujipanga sana, baada ya kuoa maisha yangu kiuchumi yalibadilika sana. Kuna mambo yalikuwa yanaenda poa kwa sababu nipo single, nikaoa mambo yakabadilika.
Kodi ya nyumba kutoka double hadi kwenye apartment, mdada wa kazi...
Kwa mliosoma mathematics chuo kikuu marufu kama MT huwezi zisahau course hizi mm naanza
NUMBER THEORY
ABSTRACT ALGEBRA
TOPOLOGY
FUNCTIONAL ANALYSIS
REAL ANALYSIS
taja zako zilizokutesa
Chanzo chako cha pesa ndiyo mtaji wako
Ili mzunguko uwe vizur usitumie pesa ya mtaji mfano mshahara tumia mshahara kuanzisha biashara ili faida inunue vitu vingne tujiepushe na liabilities kwa sababu zinatumia pesa ndogo iliyopo mfukoni yatakiwa tujikite katika assets ambazo zinaingiza zaidi...
Kweli ndugu hawa ni watu wenye uelewa mfano hasara ya kwanza nimepata kwa MTU ambae ana ueledi ni Afisa kilimo na ni Jamaa Wa karbu hasara ya pili ni mshikaji wangu tulisoma wote baada ya kumaliza chuo yeye ajira ilisumbua mm nikapata kazi miaka 3 iliyopita yeye hadi Leo hana ajira nikakubaliana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.