PEPs kret 9000 wew unauza 9500coca kret 9500, wew unauza 10000, kwa dar lakini,maji Lita moja masafi,afya,hill na n.k ni 2300, kuanzia katoni 50, NB, hii biashara inazingua kwa sasa kwa maana watu was PEPs wa kwenye maar wanauza bila kufuata utaratibu hivyo wanauza hata cret moja mtaani,so wanaharibu soko, na coca hivyo hivyo,so wateja badala ya kununua kwako wanaenda kwa wenye magar.asante