Recent content by New Rider

  1. New Rider

    JamiiForums Tanzania The Return of Makonda in Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo - Makonda ni Mlokole, Mcha Mungu Kwelikweli

    Sasa ni waziri kamili wa wizara hiyo...! Venus Star
  2. New Rider

    JamiiForums Tanzania Waziri Simbachamwene ametudhalilisha Polisi

    Wameshawatumia polisi kufanikisha jambo lao, sasa wanawatukana, wanawadhalilisha, wanawabagaza, wanawatoa akili na kuwa-dump...!! Inaumiza kweli kweli,,, hii nchi hii... Ngumu sana!!
  3. New Rider

    JamiiForums Tanzania KWELI Baadhi ya Dawa za UKIMWI (ARV) hutumika Kufubuza Ugonjwa wa Homa ya Ini

    Hiini kweli kabisa, naweza kuthibitisha, binafsi nilipataga mgonjwa wa homa ya ini ambaye ni ndugu yangu kwa upande fulani, alikuwa anatibiwa pale hospitali ya mloganzila, kibamba. Alikuwa anatibiwa homa ya ini kwa vidonge vya ARV's, kwa mara ya kwanza nilishangaa sana. sikuamini kama kweli ana...
  4. New Rider

    JamiiForums Tanzania Kushuka bei kwa simu za Oppo Kariakoo shida nini?

    Hivi na hii simu ya Realme note 50 ni kati ya hizo oppo, vivo na redmi?!
  5. New Rider

    JamiiForums Tanzania Kushuka bei kwa simu za Oppo Kariakoo shida nini?

    Hivi na hii simu ya Realme note 50 ni kati ya hizo oppo, vivo na redmi?!
  6. New Rider

    JamiiForums Tanzania Mtangazaji Khan: Kuna uthibitisho upi kwamba Polepole ametekwa na jeshi la polisi, Kibatala anatafuta kiki

    Ulikuwa una amini clouds?! How?! Hujui kuwa clouds ni sehemu ya system?! Wakina Ruge mutahabwa na Joseph Kusaga ni watoto wa mfumo na wako kwa kazi maalum...!! Nape Moses Nnauye na Ruge Mutahabwa ndio waliokaa na kubuni slogani ya HAPA KAZI TU ya ccm wakati wa JPM. Bado unasema ulikuwa...
  7. New Rider

    JamiiForums Tanzania Nimegundua asili yangu ni nyoka, sitaua nyoka, wala hawatonidhuru.

    Hapo kwenye nyota ya samaki kuna ukweli Fulani, Sisi watu wa nyota ya samaki ni watu wa rohoni sana!
  8. New Rider

    JamiiForums Tanzania Kushuka bei kwa simu za Oppo Kariakoo shida nini?

    shukrani mkuu, ngoja nijaribu!
  9. New Rider

    JamiiForums Tanzania Kushuka bei kwa simu za Oppo Kariakoo shida nini?

    Habari mkuu Chief-Mkwawa , Nina vivo Y71 Mpya kabisa, nikiwasha data inakataa ku-function kwenye google play store, Gmail, hivyo siwezi ku-access ku-download app yoyote kwenye play store, Wala ku-update, Nikitaka ku-access kuingia play store au gmail,, napata notification inaniambia...
  10. New Rider

    JamiiForums Tanzania Tumeandaa AFCON sawa, nchi ipi kati ya Kenya, Uganda na Tanzania itatoa timu mwenyeji wa mashindano?

    Daah!! Afadhali aiseee!! Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
  11. New Rider

    JamiiForums Tanzania Tumeandaa AFCON sawa, nchi ipi kati ya Kenya, Uganda na Tanzania itatoa timu mwenyeji wa mashindano?

    Na nchi gani itakayo andaa fainali ya mwisho?! Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
  12. New Rider

    JamiiForums Tanzania Madini aina ya Calfornium 1 gram = 27m USD

    Unatoa Siri tena mkuu! Watavamia huko na kutimua watu, Siri kama hizi hazitolewi kienyeji! (kama ni kweli lakini)?!
  13. New Rider

    JamiiForums Tanzania Ukakasi wa jina la Kijiji cha Mpigamiti, Mbunge aomba jina libadilishwe

    Tanga, kilindi, Kuna kata inaitwa TUNGULI
Back
Top Bottom