Recent content by New Idea

  1. New Idea

    Ibada ya Jumapili 26/03/2017 Bishop Dr Josephat Gwajima, Wageni kadhaa wahudhuria

    Haya mambo yanawasaidiaje maskini waishio vijijini wasiokuwa na uhahika wa hatma ya maisha yao?
  2. New Idea

    Msaada jinsi ya kutoa call baring kwenye laini ya Vodacom,

    [emoji2] [emoji2] [emoji2] yupo kwenye utafiti.
  3. New Idea

    Natafuta mwanaume serious kuanza nae maisha

    M/mungu tusaidie waja wako. [emoji29] [emoji29] [emoji29]
  4. New Idea

    Natafuta mwanaume serious kuanza nae maisha

    [emoji1] [emoji2] [emoji2] aliyemkusudia.
  5. New Idea

    Kiwanja kinauzwa kipo Morogoro

    Morogoro kubwa. Taja sehemu halisi. Mfano Kihonda, Mazimbu, Lukobe, Nane nane, Msamvu, Mkundi, Mindu, Sanga sanga, Chamwino. Tutajie sehe;u kilipo.
  6. New Idea

    Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi

    Mi nahitaji master chumba na sebure, maeneo ya shekilango, chumba kiwe kikubwa, sehemu yenye usalama wa kutosha. Bajeti ysngu ni 100,000/=. Ya udalali mwezi m1 baada ya mimi kuridhika na sehemu yenyewe. Malipo miezi mitatu mitatu hadi sita. Kama vipo ni PM.
  7. New Idea

    NYUMBA INAHITAJIKA.

    Nahitaji sehemu yenye umeme na maji.
  8. New Idea

    NYUMBA INAHITAJIKA.

    Chumba na sebule vinahitajika. Maeneo iwe Kimara, Ubungo ama sehemu ya karibu na barabara yapitayo magari ya mwendokasi ili iwe rahisi kufika Stesheni. Iwe na umeme na maji. Gharama isizidi 100,000/=. Ulipaji miezi mitatu mitatu hadi sita. Kuwe na umeme na maji.
  9. New Idea

    Vichwa vya Habari vya Magazeti unafikiri wataandika nini?

    12. YAMETIMIA 13. UMOJA NI NGUVU Vs SAFARI YA MATUMAINI. 14. NIPOKEENI NIWAPE MBINU. 15. TIMU LOWASSA KUHAMIA UKAWA? 16. ........
  10. New Idea

    Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

    Unaangalia channel gani? Nimeanza kufuatilia tangu saa 12 jioni hakuna hicho unachokisema. Ninachoona ni maandalizi tu ya mapokezi. Si KBC, K4 wala CITIZEN TV wanapoonesha. Hebu kuwa makini na uchokisema. Sio vema kupotosha umma.
  11. New Idea

    Speech ya Magufuli

    Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Huyu Mzee kaifanyia nchi mambo mengi tu mazuri ambayo Watanzania wengi wanafahamu ukilinganisha na viongozi wengine waliowahi kupitia Wizara alizopitia yeye. Hivyo nafikiri unapotaka kuyasema mapungufu yake, kumbuka pia kuyasema mengi mazuri yake.
Back
Top Bottom