Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,410
- 2,159
Habari wakuu.
Nina ekari moja ya eneo lipo Mjini Morogoro, Kilomita 21 toka Msamvu stand kuelekea Dodoma, Kilomita 9 toka highway.
Sifa:Jirani zangu wanalima alizeti
Kuna kiwanda cha kusindika nyama jirani
Kuna maji ya visima
Nauza laki tano.(500,000/-).Maelewano yapo.
0713-039875
Mussa
Nina ekari moja ya eneo lipo Mjini Morogoro, Kilomita 21 toka Msamvu stand kuelekea Dodoma, Kilomita 9 toka highway.
Sifa:Jirani zangu wanalima alizeti
Kuna kiwanda cha kusindika nyama jirani
Kuna maji ya visima
Nauza laki tano.(500,000/-).Maelewano yapo.
0713-039875
Mussa