Kiwanja kinauzwa kipo Morogoro

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Jul 15, 2014
1,410
2,159
Habari wakuu.
Nina ekari moja ya eneo lipo Mjini Morogoro, Kilomita 21 toka Msamvu stand kuelekea Dodoma, Kilomita 9 toka highway.
Sifa:Jirani zangu wanalima alizeti
Kuna kiwanda cha kusindika nyama jirani
Kuna maji ya visima
Nauza laki tano.(500,000/-).Maelewano yapo.

0713-039875
Mussa
 
Habari wakuu.
Nina ekari moja ya eneo lipo Mjini Morogoro, Kilomita 21 toka Msamvu stand kuelekea Dodoma, Kilomita 9 toka highway.
Sifa:Jirani zangu wanalima alizeti
Kuna kiwanda cha kusindika nyama jirani
Kuna maji ya visima
Nauza laki tano.(500,000/-).Maelewano yapo.

0713-039875
Mussa
mbona unakiuza bei rahisi hivyo
 
Habari wakuu.
Nina ekari moja ya eneo lipo Mjini Morogoro, Kilomita 21 toka Msamvu stand kuelekea Dodoma, Kilomita 9 toka highway.
Sifa:Jirani zangu wanalima alizeti
Kuna kiwanda cha kusindika nyama jirani
Kuna maji ya visima
Nauza laki tano.(500,000/-).Maelewano yapo.

0713-039875
Mussa
Naomba nichek Watsap 0758417253
 
Naomba ututajie jina la sehemu kilipo tafadhali.
Pia hilo eneo liko kwenye sehem ya mashamba ama makazi ya watu hata kama ni kijiji?
Wenyeji wa eneo hilo ni kabila gani?
 
Naomba ututajie jina la sehemu kilipo tafadhali.
Pia hilo eneo liko kwenye sehem ya mashamba ama makazi ya watu hata kama ni kijiji?
Wenyeji wa eneo hilo ni kabila gani?
Kijiji cha maji chumvi, 21 km toka Msamvu to Dodoma.Kijiji kina Mashamba, makazi na kiwanda cha nyama. Kuhusu Kabila M ni Mluguru, Jirani yangu Mrangi na wengine bado kufahamu. Karibu
 
Back
Top Bottom