Habari Wana JF,
Nina rafiki yangu amemaliza chuo kikuu mwaka juzi sasa mwezi uliopita kwa bahati mbaya mvua ikinyesha akiwa yupo miangaikoni begi analowekea nguo na vitu vya muhimu akakuta limeloa ivyo ikapelekea cheti chake cha chuo kuloa na kuharibika na vilevile kusababisha bahadhi ya masomo...
Hellow habari za uzima wana jf,
Naombeni ushauri nifanye biashara gani ..Stori ni hivi mimi ni mama mama wa miaka28 ninawatoto wawili mmoja 3 na mwingine 2 nilikuwa naishi na uyu mwanaume ila atujafunga ndoa
Na mume wangu anafanya kazi za ujenzi zamani tulikiwa vizuri tu anahudumia familia...
Ombi langu la siku zote ni lile lile wana JF naomba mwenye nafasi yakazi jamani naombeni mnisaidie au kama unajua kampuni inayotangaza kazi nipo tayari nielekezeni mimi ni mwalim nafundisha kiswahil na history.
Vilevile naweza kufanya kazi ya markerting ninauzoefu nayo na nimeshafanya kwa mda...
Hongera kuitwa baba ajae nikushaur kitu usimpe tena stress uyo mke mimba za sikuizi cjui zinamachale zikipata atress kidogo izo zimesepa subir ajifungue ndo mpige matukio saiv alee kiumbe kwa raha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.