Natafuta kazi

Natafuta kazi

Usichoke kutafuta kazi utapata tu... Una muda gani kitaa tangu umalize masomo yako
 
Uandishi wako unatia mashaka ila kwakua ni she hizo PM zitakua zinatiririka lakini si tu kwa lengo ulitakalo
 
Jmn samahan kwa ninaemkwaza kwa uandishi wangu huu ...kukosolewa ni kawaida mda mwingine ntaandika kwa uzuri nakugundua makosa yangu lakin nilikuwa naomb mweny nafasi ya kazi anisaidie tu asitazame udhaifu wangu asante
 
Unauzoefu gani? Unaweza kufanya kazi mazingira gani
Ninauzoefu katika kufundisha pia kweny suala la computer naweza kutumia kwa asilimia kubwa vilevile naweza Mambo ya sales and marketing...Asante
 
Back
Top Bottom