Isingekuwa NBC league hichi king'amuz chao ningeshapiga kiberiti, hakina cha maana wala quality ya picha, channels za HD ni 3 tu nyingine picha hazina tofauti na TBC
Sikutegemea Raisi ataiongelea issue ya katiba kirahisi hivi! Viongoz wa africa wajitahid kuwa wazalendo na wasijisau kiasi hichi, na wasidharau raia wao kiasi hichi! Bora nihamie ulaya sasa.
Sasa wasipocheza kesho na mechi za kimataifa pia watasusia kwa mkapa kisa mabango ya GSM!
Viongozi wa Simba waache upuuzi, wamesajili vibaya wanajua kesho wataaibika wanawaangushia TFF jumba bovu kwa sababu za kitoto kabisa, kama ni changamoto za kimkataba kwanini msubiri game ya Yanga ndiyo...
Kweli mzee wetu, inatakiwa katiba mpya ya wananchi, yenye misingi, taratibu na miongozo ya nchi, itayokuwa na credibility na accountability kwa viongozi na wananchi kwa ujumla,
Haiwezekani kiongozi awe na power ya kuchagua judges, tume ya uchaguzi, baraza ya mawaziri, wakuu wa mikoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.