Hii ikisimamiwa vyema itakuwa na impact kubwa sana, ipate usimamizi tu na promotion za kutosha.
Watu wamechoka na Chaka tawala wanahitaji mabadiriko kwahiyo wasituangushe aloooh.
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Namimi ninaungana na wewe mtoa mada kwahili na ni janga la kitaifa na endapo hatua muhimu zikiweza kuchukuliwa, tunaweza kuleta kitu muhimu sana ambacho kinaweza kuwa na tija kwa jamii..
Ninazungumza hili nikiwa ni miongoni mwa wahanga wa tatizo hili sababu, katika familia ukiwa unakipaji cha...
Kwa maono yangu naona, kiongozi yeyote atakae weka msimamo wake bayana kwenye swala la chanjo na watu wakamuelewa na majority yao ikakubali kudungwa chanjo! Nadhani ndio atakaekuja kuwa kiongozi wa pekee atakaefuta kumbukumbu ya Magufuli katika historia ya taifaletu huko tuendapo.
Kwa namna nilivyomsikiliza siku moja anahojiwa alitaja sababu kadhaa kwamba;
1. Wakati anaomba lidhaa ya kuwa mbunge alitumia kama 72m na kunawengine walitumia zaidi ya 600m kuingia bungeni.
2. Kuna asilimia kubwa ya wabunge hawakai majimboni mwao sababu wanaongoza watu wengi na wengi...
Kwa uhuru kabisa anakwambia yeye mpaka anaingia bungeni katumia 72m lakini kunawengine wapo wametumia mpaka 600m [emoji846][emoji846][emoji846].
Nilivyomsoma anataka 72m zake zirudi na faida juu as if kapanda shamba anategemea mavuno na faida wakati aliapa kuwa anakwenda kuwatumikia wananchi as...
Inasikitisha sana kwa kweli, Luka 3:14 Nao askari wakamwuliza, “Na sisi tufanye nini?” Naye akawajibu, “Msichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu.” Kodi zetu wanachukua kwa nguvu na mabavu, mishahara yao haikatwi kodi 3.8m bado posho n.k...
Kwa hapa naomba nieleze na mimi kwa upeo wangu kidogo; ukisoma kitabu cha Mwanzo 1:26-31 kuna fumbo pale ya kwamba, Mungu alimuumba Mtu yaani mwanamke na mwanamume kwa mfano wa sura yake na akawaamuru wakazaliane na kwenda kuijaza Dunia na akawapa mamlaka ya kuvitawala vyote alivyoviumba...
[emoji1][emoji1] hapana Mkuu uchawi ulikuwa zamani sana saizi wengi tumeelimika sana kutokana na utandawazi. Kipindi hicho cha mababu zetu ndipo ulikuwepo kwa wingi lakini wengi wao saizi wameshapotea wamebaki vijana wapambanaji sana ndio maana utaona kunaasili ya kubebana sana katika biashara...
Peter Msigwa ni muhehe wa iringa na G. Msigwa ni mkinga wa Makete. Msigwa ipo katika makabira ma tatu yaani wapo akina Msigwa wa hehe, wapo akina Msigwa wa bena na wapo akina Msigwa wa Kinga
Binafsi sishangai kwanini watu wanakimbilia sana kwenye siasa na kuamini kuwa ndio ajira pekee inayoweza kukufanya ukawa bilionea.
Yote haya nikutokana kwamba wamezisoma akili zetu na ndio maana wapo radhi kuua, kuteka na kufanya lolote lile kwa maslahi yakwao binafsi.
Haiingii akilini kuona...
Nimekupata mkuu na nikizungumzia pia na swala la corona aliposema " tuondoe hofu na tubaki kuishi nayo kama magonjwa mengine!"..
Hi nayo pia haiwezi kuwa legacy yake..? maana ukiweka siasa kando na ukaitizama Tanzania kwa upana wake, utaona hii namna inyoishi mioyoni mwa watu. Mataifa mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.