Recent content by Nero

  1. N

    Serikali ya CCM imejiandalia Anguko takatifu...

    Njooni maeneo ya mipakani kwa moja ya nchi za jirani, then muombe kwa serikali husika eneo la kufanya maombi, kumuomba mungu ni popote. Karibuni
  2. N

    Hukumu ya Kenya inapaswa kuombolezwa sio kushangiliwa

    Kama ni mtihani mleta mada ningempa 15%
  3. N

    Kushtua gari ya automatic

    tatizo wabongo Maneno mengi. kama inawezekana kushtua eleza kwa namna gani. kama haiwezekani mseme, Maneno mengi ya nini?
  4. N

    Naipenda sana Taifa Stars lakini...

    Mechi ni lini wadau? hii timu naipenda hadi naumwa
  5. N

    Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

    Hakuna amani kabisa. Namwona hata Salim Kikeke wa Bbc akitangaza hayupo kwenye mudi yake kabisa. ndiyo matunda ya uoga wetu watz
  6. N

    Umasikini wa Watanzania ni wa kujitakia

    Umenena mleta mada. Inaonyesha dhahiri uliko kidhiri umaskini ndipo wanakoendelea kung'ang'ania Ccm. Duuuuuuuh!wadanganyika bana.
  7. N

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Lowasa
  8. N

    Watumishi wa Umma njooni tukubaliane

    watumishi wa umma 90% UKAWA kwa sasa, kama huamini fanya utafiti. Ccm kwisha habari yake
  9. N

    Makao makuu CUF: Ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya ushiriki wao UKAWA

    Binafsi namwomba kamanda Mtatiro aje atueleza hapa nini msimamo wa Cuf. Nasema Mtatiro kwa sababu mara nyingi amekuwa akionekana kwenye mitandao ya kijamii akitoa ufafanuzi mzuri kuhusu masuala ya siasa. Karibu Mtatiro watanzania tuna hamu ya kupata msimamo wenu.
  10. N

    Hii kero ya matrafiki Arusha imezidi

    ndiyo mkiambia hii nchi imechoka muelewe, siyo mnalalamika hapa halafu oktoba mnarudisha thithiem madarakani.
  11. N

    Stars yapoteza Mchezo wa Pili

    Wakati wanapoteza mechi ya kwanza na kutokana na kiwango walichoonyesha nilisema tutatoka kwa aibu tena kubwa. tunafungwa na vinchi vidogo ambazo zote zikiunganishwa haifikii hata mkoa 1 kwa ukubwa. Nashauri kila mkoa au wilaya ianze mpango mkakati wa kuanzisha mashindano ya kuboresha timu ya...
  12. N

    Utafiti: Nyoka waliwahi kuwa na miguu ya nyuma

    Hii ni kweli, hata kwa nyoka wa sasa mfano Chatu, Kivutu n.k kuna dalili kwamba walikuwa na miguu. kila upande wa anus kuna vitu kama ukucha-toes kitaalam wanaita Pelvic girdle.
  13. N

    COSAFA Cup, leo 18 Mei 2015: Tanzania vs Swaziland

    Mkolaj asante ndugu, ibarikiwe sana
  14. N

    COSAFA Cup, leo 18 Mei 2015: Tanzania vs Swaziland

    kuna channel ya kibongo itarusha mechi hii? Stars naipenda sana shida tuu inataka kunifanya Kama arsenal.
Back
Top Bottom