Kwahiyo kwa sasa huna amplifier?, hizo front speakers zako unauza?.
Pia natafuta fundi mzuri, ambaye wanaweza nibadilishia surround foam/ile rubber ya speake inayoshika cone na frame. Nina speaker ya mid kwenye tower speakers imechanika/imekatika kutokana na uchakavu nadhani.
Nimekuwa nazo nyingi, nataka nipunguze walau. Nina Sony iliharibika ila inawaka lakini sauti haitoi, nina onkyo nayo inawaka ila inaenda kwenye protection mode
Mkuu,
Unaujua mfumo wa kuhamisha hela kati ya mabenki unafanyikaje?. Huko benki X ulikohamisha fedha walikupa nyaraka ya uthibitisho wa kuhamisha fedha/SWIFT Advice ili kuweza fuatilia zimekwamia wapi?.
Hela zinatumwa kwenda na kutoka mataifa mbalimbali na hazipotei, zije kupotea zinazokuwa...
Katika hali ya kawaida, ndege inapotaka kuruka lazima kuna speed ifikie kwanza ndipo inyanyuke
Chini ya hapo haiwezi kupaa maana haitakuwa na lift ya kutosha. Speed hizi zimegawanyika katika makundi mbalimbali.
Sasa ili ndege iweze kuondoka, lazima itengeneze msukumo wa kutosha/generate...
Tunashukuru kwa som
Tunashukuru kwa somo zuri mkuu. Je is it worthy kununua hp elitebook 360 830 g8 yenye ram ya 16gb na 25gb ssd used for 1.1m?.
Kama una suggestion nyingine kwa laptop yenge nguvu zaidi please advise.
Mkuu,
Hivi kwanini wanawake wa Kihaya wakishika mimba lazima waende kwao kunywa dawa au la hutumiwa dawa hito toka kijijini?.
Ni dawa za uzazi tu au kuna mengine huchanganywa humo?
K
Kwanini usijibu kwa kuzingatia kile nimeandika mkuu?, kumuita mtu Muha kisa tu anatofautiana na kile unachowaza wewe nadhani ni low level of maturity.
Pinga/fafanua yale niliyo andika kulingana na uwezo wako wa kuchambua mambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.