Recent content by nerilan

  1. nerilan

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Kwahiyo kwa sasa huna amplifier?, hizo front speakers zako unauza?. Pia natafuta fundi mzuri, ambaye wanaweza nibadilishia surround foam/ile rubber ya speake inayoshika cone na frame. Nina speaker ya mid kwenye tower speakers imechanika/imekatika kutokana na uchakavu nadhani.
  2. nerilan

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Ukipata chimbo jingine unishtue. Naona saizi hana speakers ninazohitaji
  3. nerilan

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Mrisho namfahamu, ngoja nicheki naye
  4. nerilan

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Hizi ulichukua wapi?, sana sana fronts LR speakers?. Kuna chimbo unalijua la speakers quality?, haswa floor standing
  5. nerilan

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Unazipataje mkuu. Niko Arusha.
  6. nerilan

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Speakers gani unazotumia kwa sasa mkuu?
  7. nerilan

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Nimekuwa nazo nyingi, nataka nipunguze walau. Nina Sony iliharibika ila inawaka lakini sauti haitoi, nina onkyo nayo inawaka ila inaenda kwenye protection mode
  8. nerilan

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Kama kuna mtu yuko interested, nasukuma Denon AVR 2805, iko na original remote. Naiuza maana nimekuwa nazo nyingine, hivyo siitumii tena. Bei 280k.
  9. nerilan

    CRDB is no longer, ni benki ya kuihama

    Ulisoma hilo tangazo mkuu. Mbona lilikuwa wazi, na watu tukafanya miamala. Angalia chini ya downtime window kuna maelezo gani?
  10. nerilan

    CRDB vibaka ndani ya benki wameongezeka! Majid Nsekela kazi inamshinda?

    Mkuu, Unaujua mfumo wa kuhamisha hela kati ya mabenki unafanyikaje?. Huko benki X ulikohamisha fedha walikupa nyaraka ya uthibitisho wa kuhamisha fedha/SWIFT Advice ili kuweza fuatilia zimekwamia wapi?. Hela zinatumwa kwenda na kutoka mataifa mbalimbali na hazipotei, zije kupotea zinazokuwa...
  11. nerilan

    Wataalam Aviation...hii ni nini?

    Katika hali ya kawaida, ndege inapotaka kuruka lazima kuna speed ifikie kwanza ndipo inyanyuke Chini ya hapo haiwezi kupaa maana haitakuwa na lift ya kutosha. Speed hizi zimegawanyika katika makundi mbalimbali. Sasa ili ndege iweze kuondoka, lazima itengeneze msukumo wa kutosha/generate...
  12. nerilan

    Je, Laptop Yenye Intel Core i7 ni Bora Kuliko i3 na i5? Hii Ndio Ukweli!

    Tunashukuru kwa som Tunashukuru kwa somo zuri mkuu. Je is it worthy kununua hp elitebook 360 830 g8 yenye ram ya 16gb na 25gb ssd used for 1.1m?. Kama una suggestion nyingine kwa laptop yenge nguvu zaidi please advise.
  13. nerilan

    Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

    Mkuu, Hivi kwanini wanawake wa Kihaya wakishika mimba lazima waende kwao kunywa dawa au la hutumiwa dawa hito toka kijijini?. Ni dawa za uzazi tu au kuna mengine huchanganywa humo?
  14. nerilan

    Mlinzi wa kiume wa Rais kuvaa juba (vazi la kike) na kuketi msikitini sehemu ya wanawake ni sawa?

    K Kwanini usijibu kwa kuzingatia kile nimeandika mkuu?, kumuita mtu Muha kisa tu anatofautiana na kile unachowaza wewe nadhani ni low level of maturity. Pinga/fafanua yale niliyo andika kulingana na uwezo wako wa kuchambua mambo.
Back
Top Bottom