Recent content by Neriah

  1. N

    Dawa za Kulevya: Raia mwenye nasaba ya Tanzania jela miaka 11 kwa kukamatwa na heroin Canada

    Unadharau wa mtu jenga kuwa na nidhamu kwa kiongozi wako kuwa na hifadhi ya maneno itakusaidia kimaisha na jina halikui kwa kuropoka
  2. N

    Gwajima anaendelea kumshikia bango Makonda, adai amekimbia nchi kama Magufuli alivyotabiri

    Hizo ni sifa zimemzidi kanisani ni sehemu ya bwana na mahali patakatifu sio kwenda kuchamba watu si aanzishe bendi ya taarabu tuu sio kutumia kanisa kama kichaka, waumini wanakosa haki ya mahubiri kwa kukaa kusikiliza habari za makonda
  3. N

    Mkewe anamiliki ATM card na akitoka kazini anapekuwa mifuko ya suruali

    kuna akili ya darasani na mtaani uzoba gani huo
  4. N

    Riwaya: Sitaisahau Tanga

    Kupenda vizuri
  5. N

    Njia za asili za kufanya uke kuwa mdogo

    Unaubana uke unaanza kuugua magonjwa ya ajabu yasiyo na tiba mwili huu hauhitaji innovation yoyote, hasa uko chini kukibana mtoto atapita wapi hii ni rastiki mungu kaiweka ingekuwa wanaume wanapenda k ndogo basi waliozaa wasingeolewa wala kuwa na waume, usiwaaharibu wenzako wafukuze wadudu wangu...
  6. N

    Mtoto amkataa mama yake na kutaka kuishi na mama wa kambo

    Itakuwa mama wa kambo anapika vizuri kwa sababu ni mpya kwa baba yake na ile unafiki wa mwanzo wamwache aende huko akakae hata mwaka ndo atajua alieingia labor na anayemkimbilia yupi bora, watoto wanadanganywa na tabasamu la usoni na chakula lkn hajui moyo huficha mengi mwache aende akaione...
  7. N

    Nimeshikwa live

    Uko kama mtoto unaandika utafikiri wanasoma watoto wenzako huu upuuzi peleka facebook uandishi gani huo
  8. N

    Nimeachwa baada ya kushindwa kusubiri mpaka tufunge ndoa

    Mkaka usiumize moyo hakuwa jicho lako yeye alitaka ukale wapi na wewe ni mwanadamu, mwanamke mzuri ni yule anaesamehe kiukweli
  9. N

    Mtoto kuanza kuota meno ya juu

    Zinduna wa bahati bukuku
  10. N

    Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

    Bangi majani yake kweli inatibu, nina mtoto wa kakaangu alipona kiutaniutani nilikuwa nimembeba kumpeleka hospitali nikakutana na wakaka pembeni kulikuwa kuna bangi imejiotea akasema mshushe chini nimpe dawa nikajua ni utani si akayafikisha yale majani akamkamulia sikioni akanambia rudi nyumbani...
  11. N

    Kufanya mapenzi/tendo la ndoa na mzazi wa mwezi mmoja

    Kubemenda kupo kuna mtoto nilshumhudia aliyebemendwa utalia ukimuona pia inakuwa shida kumlea maana huwa hakui
  12. N

    Uhusiano kati ya size ya lips za mdomo wa mwanamke na size ya kibuyu chake cha asali

    Siku izi kumekuwa na matusi humu, mi naona wew ni kibamia ndo maana unahangaika
  13. N

    Nisadieni ndoa yangu inavunjika

    Duu dressing table mahari huyo binti nimecheka na weww ukakodi na kirikuu kuipeleka, si bora angesema fridge angalau atengeneze barafu auze aache kukutegemea
  14. N

    Miaka 27 huna mtoto? Jichunguze

    Ndo hao mtoto anapewa elfu mbili ya matumizi akienda shule kisa anakimbizana kuzaa
Back
Top Bottom