jr.kiyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 787
- 4,863
Kuna habari hapa kuna dogo huko Tunduru mkoa wa Ruvuma umri miaka 11 amemkataa mama yake mzazi kwa madai ya kwamba ana mshurutisha sana, dogo alipopewa nafasi ya kujieleza mbele ya kikao rasmi cha kijiji,alisema kuwa mama yake huyo anamlazimisha kufua nguo zake kitendo ambacho yeye hakubaliani nacho.
Na la kustajabisha ni pale dogo alipodai anataka kwenda kuishi kwa mama yake wa kambo kitu ambacho kilichowashangaza watu wengi na pia alitoa tahadhari kama atalazimishwa kuishi na mama yake mzazi basi atafanya jambo lolote baya ikiwemo kujiua.
Dah...........
Na la kustajabisha ni pale dogo alipodai anataka kwenda kuishi kwa mama yake wa kambo kitu ambacho kilichowashangaza watu wengi na pia alitoa tahadhari kama atalazimishwa kuishi na mama yake mzazi basi atafanya jambo lolote baya ikiwemo kujiua.
Dah...........