Recent content by Nepheriandick

  1. Nepheriandick

    Aliumwa na nyoka akatibiwa lakini kidonda hakiponi

    Nashukuru saa Wana Jf Doctors , USHAURI wenu umeleta matunda mazuri, dgo ame recover kidonda kimefunga kabisa, anatembea vizuri tu, SHUKRANI SANA MZIZI MKAVU, SKY NA WENGINE WENGI MLIOTOA USHAURI WENU[emoji120]
  2. Nepheriandick

    Aliumwa na nyoka akatibiwa lakini kidonda hakiponi

    Shukrani sanaa kiongozi, Ubarikiwe Sana Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Nepheriandick

    Aliumwa na nyoka akatibiwa lakini kidonda hakiponi

    Shukrani Sana Mkuu, barikiwa Sana [emoji120] Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Nepheriandick

    Aliumwa na nyoka akatibiwa lakini kidonda hakiponi

    Habari Wana Jf Doctors Kama kichwa kinavyojieleza hapo ni kwamba Nina mdgo angu Miaka zaidi ya saba imepita tangu mdgo angu aumwe na nyoka ambae hutukufaham ni wa aina , ailiumwa akiwa anaenda kufunga geti la uzio wa nyumba mida ya usiku, tulimpa huduma ya kwanza ndipo tuka mpeleka hospital...
  5. Nepheriandick

    Fill in the blanks with the correct form of the verb

    Ok , we need you to fill in the blanks not to remind us where you were Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Nepheriandick

    Ujue mkoa wa Mbeya kwa ufupi

    Ulifwaa Bujibuji
  7. Nepheriandick

    Ujue mkoa wa Mbeya kwa ufupi

    Umanyile weeee! [emoji16][emoji16]
  8. Nepheriandick

    Somo la kutengeneza YouTube channel

    Mkuu wewe una channel? Kama unayo inaitwaje ? Na je unachukuliaje swala la kununua youtube channel?
  9. Nepheriandick

    Afariki dunia kwa kugongwa na treni akiidandia

    Treni imegongwa na Marehemu R I P
  10. Nepheriandick

    Wizi wa kufoji kwenye Ma bank

    Jamani sipo hapa kwa ajili ya kutoa hizo mbinu apa, nilikuja kuomba ushauri wa kisheria ni namna gani naweza faidika kutoka kwa wahanga japo uandishi wangu sio mzuri , Mimi sio mharifu , Kuna watu wananifuata inbox wananishauri vema Sana na Kuna baadhi wanataka niwaambie namna ya kufanya JAMANI...
  11. Nepheriandick

    Wizi wa kufoji kwenye Ma bank

    Shukrani kiongozi hiyo naona ndio imekaa vizuri,
  12. Nepheriandick

    Wizi wa kufoji kwenye Ma bank

    Na wasiwasi wangu mkubwa ndio huo , unaweka kila kitu hadharani lakin unashangaa jamaa wanakusubiri nje na Kitenga
  13. Nepheriandick

    Wizi wa kufoji kwenye Ma bank

    Kuna siku nilienda Hadi bank flani kwa lengo la kufikisha hili nilikaa kwenye kiti niliwaza Sana kuingia kwa meneja badae nikahairisha kwa kuhofia usalama , nikaishia kuuliza jinsi ya kufungua account then nikaondoka zanguu
Back
Top Bottom