Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Vipi sheria za bongo zinasemaje kuhusu youtube?Asante mkuu
Vipi sheria za bongo zinasemaje kuhusu youtube?Asante mkuu
Kwa YouTube channel ambazo ni media unasajiri yaani kama itv, global publishers wao wanalipia ila kwa mtu mfano tuseme kama wewe labda unatoa mafunzo hapo hauta sajiri.Vipi sheria za bongo zinasemaje kuhusu youtube?
Ww unachanell?Kwa YouTube channel ambazo ni media unasajiri yaani kama itv, global publishers wao wanalipia ila kwa mtu mfano tuseme kama wewe labda unatoa mafunzo hapo hauta sajiri.
Sema kwenye swala la mauzui ndo utata utakapo tokea
Utata utatokea kivipi mkuu?Kwa YouTube channel ambazo ni media unasajiri yaani kama itv, global publishers wao wanalipia ila kwa mtu mfano tuseme kama wewe labda unatoa mafunzo hapo hauta sajiri.
Sema kwenye swala la mauzui ndo utata utakapo tokea
Mimi nlikua nataka fungua channel kwa ajili ya kufundisha kozi mbali mbali na mambo ya ujasiriamali!Unaweza kua unatoa content flani wakakwambia inatakiwa uwe na kibali cha kurusha maudhui ya Aina hiyo
Anhaa! nimeicheck ila hauoni km ukisha kidhi vigezo vyao na wao wakiifanyia review channel yako unaeza kutokuwa monetizedKwa sasa channel nimefungua mkuu.
Inatumia Jina langu hili la Emmanuel Kasomi
Hapana mkuu hapo nasubri ikisha kua kuanzia swala la viewers, subscribers na nikikidhi vigezo vyote.Anhaa! nimeicheck ila hauoni km ukisha kidhi vigezo vyao na wao wakiifanyia review channel yako unaeza kutokuwa monetized
Sababu hii audio ulioiweka ilishawekwa kweny channel nyingne
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app