Recent content by nelsonNI

  1. nelsonNI

    JamiiForums Tanzania Nakumbuka millenials kaburi letu lilikuwa madawa ya kulevya. Hawa Gen-Z kaburi lao ni mapenzi kinyume na maumbile

    Najiuliza tatizo ni globalization au sayansi na tekinolojia au ni nini!?,nagundia ni upunguani tu. Naam kuangalia movie linavyokwenda.
  2. nelsonNI

    JamiiForums Tanzania Kuamini ndoa ni Mpaka ifungwe kanisani au Msikitini ni dalili ya utumwa na uelewa mdogo kwa watu

    Wanaendekeza stress na huku wakimuhusisha Mungu wasomi wa hizi elimu za kuunga unga hawana ubongo kabisa
  3. nelsonNI

    JamiiForums Tanzania Je, vidonge vya ku "cream" ngozi ni salama?

    Shortcut ya kitu chochote Ina madhara lazima ukubaliane nayo tu ukitaka kubadili ngozi kwa njia isiyo rasmi
  4. nelsonNI

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Mmeshuhudia siku tatu zile. Hakukuwa na harusi, kitchen party wala mikusanyiko kwenye mabaa. Zilikuwa siku tatu nzito

    You kill, you will be killed that's nature no way to escape
  5. nelsonNI

    JamiiForums Tanzania Jameni walokole, hivi haya maneno mnayatumia vile yanavyopaswa ama mnatulisha matangopori?

    Mathayo 23:37 [37] “Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! Mara ngapi nimetamani kuwakusanya watoto wako pamoja, kama vile kuku akusanyavyo vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hukutaka! Hao wayahudi wamelaaniwa.
  6. nelsonNI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, hizi ni hisia au uhalisia kuwa Single Mothers wanapenda kuringishia watoto wao Kwa wanaume smart na wanaoonekama watulivu wasio na heka heka

    Anaweza asiwe single mother lakini baba izo mimba alizotoa apo ni qweree!
  7. nelsonNI

    JamiiForums Tanzania Mwenye kitabu cha falsafa ya Ustoa tafadhali naomba msaada wa softcopy members

    Natafuta kitabu hiki falsafa ya Ustoa
  8. nelsonNI

    JamiiForums Tanzania Media za Magharibi zinatumika kuharibu amani yetu

    Amani Gani unayo mnafiki wewe! Unajua amani kweli ?Kuna tofauti kati ya amani na unafiki.
  9. nelsonNI

    JamiiForums Tanzania Ahmed Ally: Si jambo jema hata kidogo Serikali kutoa Posho ya 1.2M pamoja na Usafiri kwa Mashabiki wa Yanga, Mpira ni Starehe

    Na hapa analalama eti hawatakopeshwa pesa this f** government gonna be destroyed soon
  10. nelsonNI

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia amteua Binti yake Wanu Hafidh, kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu

    Naibu waziri wa elimu??Bora angemweka pengine sio hapa kwenye wizara special ya akili na ufahamu wa nchi
  11. nelsonNI

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ujumbe Kwako Mwigulu, Usimjaribu Mungu Wala Usimkufuru

    Dhihaka ni dhambi mbaya mnoo kwa Mungu, kama umeamua kuwa shetani kuwa shetani deal na shetani wako kikamilifu. Maana ukimhusisha Mungu kwenye ushetani wako atakuraruaa in a moment
  12. nelsonNI

    JamiiForums Tanzania Watanzania haswa vijana tusiwe "brain washed" na Mange Kimambi na wenzake huko ulaya, usitumike, mlinde mtanzania mwenzako, ilinde nchi yako

    Sio brain washed man, we know the country is not ok without mange kimambi
  13. nelsonNI

    JamiiForums Tanzania Lengo kuu la Maandamano lilifanyika, Hatua Ijayo ni Uasi

    Bado natafakari ivyi police au jeshi ambaye umeiva na unajua mbinu zote za kivita, inakuwaje unatumia risasi za moto dhidi ya mtu ambaye Hana Hata goboree ***** zenu police mlifanya hivyi mlaaniwe,kila mnapopumua
Back
Top Bottom