Recent content by nelson15

  1. N

    Mzoefu wa kuagiza bidhaa kwa kutumia Aliexpress anisaidie

    Kama ni posta Unaweza kuchua hadi wiki mbili kutoka ulipoingia nchini, kulingana na mahali ulipo na mizigo iliyopo
  2. N

    Naombeni ushauri wa Biashara ya vitenge kutoka Zambia

    Vipi uki import mwenyewe kutoka china... kwa CBM inawezakuwa beigani kodi?
  3. N

    Express shipping from China to Tanzania, every week

    Gharama kwa kilo ikoje kwa kila aina ya mzigo?
  4. N

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Wakuu naombeni machimbo ya belo za nguo za watoto na yebo za mtumba zenye muundo wa sendo
  5. N

    Natafuta PS 3

    Natafuta ps3, nipo Morogoro. Bajeti yangu ni Tsh. 200,000/- Mawasiliano: 0679680895
  6. N

    Naombeni msaada kuhusu kilimo cha Bamia, Hoho na Biringanya

    Naomba kujuzwa dawabora za wadudu na booster kwaajili ya mbogamboga
  7. N

    Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

    Mbona hakuna mirejesho au ndo wote tumeokoka?!
  8. N

    Wapi naweza kupata simu hii (Nokia 1680c)?

    Wakuu mimi natafuta Housing na display ya nokia 1680c-2 naweza kupata wapi? mimi nipo morogoro.
  9. N

    Inauma sana. Leo amenitamkia wazi kuwa simridhishi na hajawahi kuridhishwa

    Mkuu we mpelekee moto akitaka kuridhika aende kwabaake.
  10. N

    Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

    Bado sijaelewa mkuu hiyo bei ya elfu10 ni bei ya kila pea katika hiyo dazani au ipoje hii?
  11. N

    Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

    Shukrani mkuu nilikuwa nazungumzia vile vyakawaida
  12. N

    Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

    Zaduka mkuu, tatizo nimeshindwa ku upload picha
Back
Top Bottom