Recent content by nelson15

  1. N

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Wakuu naombeni machimbo ya belo za nguo za watoto na yebo za mtumba zenye muundo wa sendo
  2. N

    Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

    Mrejesho Kwa aliyewahi kufanya biashara na jamaa kabla hatujajilipua
  3. N

    Natafuta PS 3

    Natafuta ps3, nipo Morogoro. Bajeti yangu ni Tsh. 200,000/- Mawasiliano: 0679680895
  4. N

    Phone4Sale Agiza simu used Grade A (Refurblished phone) kutoka Dubai kwa bei za jumla

    Vipi kama nahitaji kitu tofauti na simu inawezekana?
  5. N

    Naombeni msaada kuhusu kilimo cha Bamia, Hoho na Biringanya

    Naomba kujuzwa dawabora za wadudu na booster kwaajili ya mbogamboga
  6. N

    Wapi napata mganga wa Kienyeji mzuri?

    Mbona hakuna mirejesho au ndo wote tumeokoka?!
  7. N

    Wapi naweza kupata simu hii (Nokia 1680c)?

    Wakuu mimi natafuta Housing na display ya nokia 1680c-2 naweza kupata wapi? mimi nipo morogoro.
  8. N

    Inauma sana. Leo amenitamkia wazi kuwa simridhishi na hajawahi kuridhishwa

    Mkuu we mpelekee moto akitaka kuridhika aende kwabaake.
  9. N

    Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

    Bado sijaelewa mkuu hiyo bei ya elfu10 ni bei ya kila pea katika hiyo dazani au ipoje hii?
  10. N

    Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

    Shukrani mkuu nilikuwa nazungumzia vile vyakawaida
  11. N

    Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

    Zaduka mkuu, tatizo nimeshindwa ku upload picha
  12. N

    Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

    Wakuu habarini? nimefikiria kufanya biashara ya sandals, kwawenye uzoefu nabiashara hii naombeni ushauri juu yamtaji ninaoweza kuanzanao pia kwakuchukulia bidhaa na range yabeizake mimi nipo lindi.... Natanguliza shukran.
Back
Top Bottom