Hili wazo lako haliongezei chochote zaidi ya kuwapotosha wanadamu kuendelea kufanya mabaya
Ukikaribia kufa futa huu uzi mkuu maana utakuhukumu sku ya mwisho
Hii kitu inaishi unajua
Haitoshi mkuu
Inategemea na eneo ulilopo
Ukibana saaana
Kwa haraka haraka kusimamisha boma
Msingi utakula mil. 2
Tofali ni kama 1800pcs=mil. 1.8
Cement mifuko 70pcs= mil. 1.4
Mbao na bati mil. 3
Na hapo bado sana make kuna
Slab
Brandaling za gypsum
Gypsum board
Plasta
Wearing ya maji na umeme...
Cha kushangaza shule nyingi zinalazmisha watoto wawe boarding
Mtoto anatoka shule na matabia ya ovyo hajui hata kusalimia kiujmla wanatoka shule hawajui chochote kuhusu jamii
Hii mambo inaniwazisha sana mkuu
Sjajua haya mabaliko yataishia wap
Maana hata wale vijana wachache waliobakia pale hawana malengo ya pale wanawaza mjini tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.