Hallo ndugu zangu
Leo nataka tuongeleye ugonjwa wa Panic Attack
Ugonjwa ambao unasumbua watu wengi sana katika dunia hii ya leo
Wengi wanashindwa kutambua huu ugonjwa kitu ambacho kinapelekea watu wengi kufikiri kama wana matatizo ya moyo wengine wanaenda mbali wanafikiri wamerogwa kitu ambacho sio kweli
Kwanza tunatakiwa tujue ni vitu gani hasa vinapelekea mtu kupata ugonjwa wa pannick attack
Mtu anapata ugonjwa wa Panic Attack akiwa na mawazo mabaya ya vitu mbali mbali
Au akitokewa na kitu ambacho hakutegemea kama kinaweza kutokea katika maisha yake
Hivyo ndivyo vitu ambavyo vinapelekea mtu kupata ugonjwa wa Panic Attack kuna mengi sana ambayo yanasabanisha kutokea kwa ugonjwa uo mimi najua hayo tu
Dalili zake ni zipi
Dalili za Panic Attack cha kwanza na ku feel kama unataka kufa hivi yaani kuwa na hofu ya kufa hiyo ndo dalili kubwa saana
Cha pili na magonjwa au kuwa na hisia za maumivu katika akili yako yaani mtu kuhisi kama anaumwa hivi kitu ambacho si kweli bali ni hisia za maumivu tu ndo zinampelekea kuhisi hivo na ukienda hospitali, daktari wanakuambia hakuna ugonjwa wowote ambao unakusumbua, tambua ndugu yangu una hisia za maumivu
Tatu ni mapigo ya moyo kwenda kasi mtu ambaye ana ugonjwa wa Panic Attack
akiwa kwenye mawazo mazito lazima moyo weke uende kasi saana
Dawa ya Panic Attack nini ?
Dawa ya Panic Attack ni karafuu.
Karafuu inaponya ugonjwa huu vizuri sana
pamoja na ushauri wa watu.
Leo nataka tuongeleye ugonjwa wa Panic Attack
Ugonjwa ambao unasumbua watu wengi sana katika dunia hii ya leo
Wengi wanashindwa kutambua huu ugonjwa kitu ambacho kinapelekea watu wengi kufikiri kama wana matatizo ya moyo wengine wanaenda mbali wanafikiri wamerogwa kitu ambacho sio kweli
Kwanza tunatakiwa tujue ni vitu gani hasa vinapelekea mtu kupata ugonjwa wa pannick attack
Mtu anapata ugonjwa wa Panic Attack akiwa na mawazo mabaya ya vitu mbali mbali
Au akitokewa na kitu ambacho hakutegemea kama kinaweza kutokea katika maisha yake
Hivyo ndivyo vitu ambavyo vinapelekea mtu kupata ugonjwa wa Panic Attack kuna mengi sana ambayo yanasabanisha kutokea kwa ugonjwa uo mimi najua hayo tu
Dalili zake ni zipi
Dalili za Panic Attack cha kwanza na ku feel kama unataka kufa hivi yaani kuwa na hofu ya kufa hiyo ndo dalili kubwa saana
Cha pili na magonjwa au kuwa na hisia za maumivu katika akili yako yaani mtu kuhisi kama anaumwa hivi kitu ambacho si kweli bali ni hisia za maumivu tu ndo zinampelekea kuhisi hivo na ukienda hospitali, daktari wanakuambia hakuna ugonjwa wowote ambao unakusumbua, tambua ndugu yangu una hisia za maumivu
Tatu ni mapigo ya moyo kwenda kasi mtu ambaye ana ugonjwa wa Panic Attack
akiwa kwenye mawazo mazito lazima moyo weke uende kasi saana
Dawa ya Panic Attack nini ?
Dawa ya Panic Attack ni karafuu.
Karafuu inaponya ugonjwa huu vizuri sana
pamoja na ushauri wa watu.