Vitu vingi wamebumba tu, una uhakika gani hivyo vitabu ni maneno ya Mungu, kwanza kuna mengi sana kwenye vitabu vya dini ya kikristo na uislam vina kinzana, mambo yale hayakuandikwa kwaajili yenu, kila taifa lilikua na namna yake ya kumtafuta Mungu..... Kama unaamini Mungu aliumba wanadamu wote...
Ndugu zangu watu weusi, ukristo na uislam mliletewa ili muibiwe mali zenu, waarabu na wazungu hawakua na shida ya kutufundisha kumjua Mungu, kwa maana tulikua tunamjua tayari.... Angalia wachina na wahindi, wana dini zao na ni mataifa yenye maendeleo sana, sisi tumekalia tu upuuzi wa kubaguana...
Wewe una mawazo kama yangu kabisa yani... Hakuna dini si uislam wala ukristo ila yesu anaokoa.... Watu hawajui kuwa unaweza ukawa huabudu dini yoyote na ukawa mtu wa Mungu
Hao wenzetu dada zetu wanaoa vizuri na wanawabadili dini vizuri tu, na wakati mwingine wanawataliki mbele ya safari. Ila kivumbi dada zao wanaona kama wanaozesha kwa mashetani, all in all mimi huwa naamini dini zote mbili zimekuja kutugawa tu na si kutuweka karibu na Mungu maana tunavyotazamana...
Jamii imezalisha wanaume malofa sana, siku zitakuja ambayo wanawake watatamani uwepo wa wanaume halisi, wenye msimamo, jasiri lakini hawatakuwepo kwakua wamewaharibu wenyewe kwa kuwaambia kwa wao ni sawa na wanawake,.... Na ndo maana vitoto siku hizi havina adabu kwakua baba zao wamefunikwa...
Kukoseana adabu tu, mumeo hutakiwi kumzoea namna hiyo, nyinyi sasa mmetoka kwenye urafiki na kuleta usela mavi. Ni rafiki gani huyo unajamba mbele yake na anaona poa tu! kama sio kukosa akili, sometimes mwanamke au mwanaume unapojiexpose sana kwa mwenzi wako, unapoteza ule msisimko uliokuwepo...
Kaka umenumizungumza mimi kabisa yani...... Mwanaume unapokosa tendo la ndoa akili inahama kabisa, unakosa furaha hasira muda wote, wengine wanafikia hatua mpaka ya kujichua. Na ukiwa unapewa kwa uchache hata perfomance inashuka, mpk unahisi labda una upungufu wa nguvu.... Nimeona mtu ukiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.