Kwahiyo ulitaka ukazindue TUNDA kiulai laini tukumbe lisha zinduliwa tuanzie kwako kwanza wewe uvulana wako BADO umejitunza?

Bikra??Labda uniambie kilichokuuma ni kudanganywa na si unajua sie wote waongo wake Kwa waume ,,hii generation hakuna bikra bro,,
Kama una approach Kwa njia ya pesa mwaga pesa ,,kama maelezo toa maelezo,,kama vitendo onyesha vitendo,,give it all,,unajilaum nn mzee ushamwaga zako bhana bikra ndo nn Kwan unataka mke??

Mjini hamna cha bure mzeya...kama mbele hamna bikra tunacheki nyumaSina michezo hiyo mzee![]()
NakaziaHio ndio bikira uliyoambiwa ipo jiongeze mkuu
Inatia Sana hasira ii kitu ... Sikien tu... Ilinikuta iyo Kaka... Gharamia mpk Serengeti uko mbugan kufika nijilie Mambo
Daaah ... Nikakata adi motto



Umeongea kwa uchungu sana