Recent content by nelly banjo

  1. N

    Karibuni kumbukumbu ya Dr Daud Balali aliyekuwa gavana wa BOT

    huyo mtu kashakufa wazee,basi kama wamemficha hata marekani watakuwa wanahusika moja kwa moja,haiwezekani mtu kama Balali aliyefanya kazi na marekani wasijue taarifa zake.kama kufichwa kafichwa na marekani,basi inabidi tupige kelele kwa marekani watupe mtu wetu.
  2. N

    CHADEMA hii tamaa ya kwenda ikulu itawatokea puani

    namuomba mungu,anipe uzima mpaka2015 niungane na watz wenzangu kuweka na kushangilia historia mpya ya kumuweka dr slaa madarakani.kama watu wa marekan walivyosubili rais mweusi kutawala.
  3. N

    Watanzania na CCM: Vipi, Dr.Regnald Mengi Urais 2015?

    kila mtu tunamuona hafai kuwa rais ,inabidi tuache ushabiki wa kichama,tuungane kwa pamoja kuchagua mtu ambaye anaweza kutuunganisha watanzania wote na kuimarisha taasisi zote muhimu.tupo kwenye kipindi kibaya mno cha ombwe la uongozi,
  4. N

    Kwanini Tanganyika na Zanzibar visife ibaki Tanzania pekee?

    point nzuri lakini kwa wakati huu tumechelewa,twendeni kwenye serikali tatu,kila mmoja afe na chake.
  5. N

    Mkimgusa Edward Lowassa mtasahaulika katika siasa za Tanzania!

    kwanini wasimpeleke mahakamani,wanazidi kumchafua tu,fisadi fisadi,hii sio sawa lowassa ni mtanzania na anastahili haki zake za msingi ziheshimiwe kama raia.
  6. N

    Mh. Edward Lowassa aina hii ya uzalendo na upendo....!!!!!! NI HATARI KWA TAIFA.

    kwani nyie ccm hayo mambo ya rushwa ndio yameanza kwa lowassa hahaha,mwache mwenye pesa azitumie anavyoweza,kikwete aliingia vp?tuna options mbili tu lowassa na slaa,hatutaki mjadala mwingine.wananchi watahamua sio ninyi waoga wa kushindwa.
  7. N

    CCM mfukuzeni uanachama Lowassa vinginevyo mtajikuta mmechelewa sana

    hili fupa gumu,lowassa jasiri kumfukuza haisaidii,kwanza hatopanic atazunguka nchi nzima kupata huruma ya wananchi,kumbukeni wengi wanaopiga kura sio wavyama wa siasa,anaweza kugombea kama mgombea binafsi(yaan mpinzani wa ccm),ccm no way out
  8. N

    Chadema kurusha chopa 10 2015

    henhe ndo mana yake,ccm wakijamba sisi tunahalisha,tunataka kila kitongoji cha tanzania kufikiwa,ccm bye bye
  9. N

    CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

    ccm maandamano yanalipa eeh,kwahiyo umeamua na ninyi mjiunge na wafanya vurugu,wafa maji hao .
  10. N

    CHADEMA hawana Ikulu wanarusha chopa tatu angani kujenga chama, wakichukua nchi itakuwaje?

    ccm hamna uhalali wa kuipangia chadema mtindo wake wa kiungozi na wa kimkakati,chadema inaonyesha uhalisia kwanini kinaitwa chama kikuu cha upinzani ,na haya ndio matumizi bora ya ruzuku,kuimarisha chama,uchaguzi ujao tunataka chopa 50 kuwa hewani,kila kanda chopa tatu.
  11. N

    Mbunge Hamis Kigwangalla hatarini kuvuliwa uanachama CCM

    CCM yenyewe tia maji tia maji,nyoka wa kibisa haoo
  12. N

    Mamilioni ya Lowassa yaingia CHADEMA

    zitto kama anajua lowassa kaficha pesa uswiss kwanini asimtaje?,nyie ongeen yeye lowassa anachanja mbuga tu ,lakini akifika 18 za CHADEMA, LOWASSA KAFA
  13. N

    Upotoshaji wa Matumizi ya helikopta za CHADEMA na elimu ya helikopta - gharama halisi

    Ukombozi ni gharama,mimi binafsi nawapongeza CHADEMA kwa kuwa wabunifu,na huu mtindo wa kutumia chopa uendelee zaid kwenye oparation zinazokuja,kwani zina tija kwa CHADEMA lakini ni hasara kwa CCM na vyama vingine tudogotudogo,kwa hiyo basi naona vyema uchaguzi 2015 kuwe na chopa takriban 20,na...
  14. N

    Lowassa na Slaa, busara zenu zinahitajika ili nchi isimwage damu!

    post nzuri,tahadhari kabla ya hatari,huu uchaguzi ujao wa urais utaweka historia mpya nzuri au mbaya tz
Back
Top Bottom