Wewe ni kiumbe mwenye uwezo wa kibinadamu usilazimishe kufahamu yasiyo uwezo wako utachanganikiwa memory yako na ramu gb 4 unataka kichwa Chalo kihifadhi vitu vya gb 1000 hiko ni kichekesho
Yaaaani mm maishani kwangu be nikija kubetia Spurs maishani mwangu labda niwe shoga toka juzi nafukuzia hela Leo kabaki yeye na point zote zile alizopewa shelfd kapigwa kachana mikeka yote na ndo ulikuwa nauli ya kazini j.tatu fala yule
Toyota wish kwa 7.5mil.cc1790 automanual, good condition ,mp4,video ,seven seat ,one litre per 14km ,black , being 7.5milion karibu pm for owner /buyer negotiations
Mungu hawabariki na kusamehe yote waliyokosea juu ya dunia na haesabu mema yao machache kwasababu ,haijalishi bado walikuwa binadamu katika kutimiza wajibu waho roho zilazwe mahali pema peponi
Nitembee kifua mbele kwa jinga lilokuwa linagawa dhaabu kuanzia Mali mpaka makka mpaka Dhahabu ikashuka thamani lkn Mali bado nchi maskini manka Musa alikuwa mjinga so utajiri ukwapi sasa maafrika mengine yamepata mafanikio kwa msaada was wazungu walio gundua na kupromote hiyo michezo lasivyo...
Mbona CIA wanaonyesha mpaka mtaani vinakaa kiunoni FBI vilevile sema wa bongo wanapenda Ku complicate mambo kamuonyesha afisa mwenzie ili asimuulize labda maswali mengi so yeye kama aliona ujue alishamjua hana madhara ,sema hakujua kama amekaa na mtu kilaza sasa hayo yakuleta Jami forum...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.