Kama amekushirikisha hapo kweli utahusika. Kuna wanaume ambao hawashirikishi wake zao, anaweza akakopa akafanya mambo yake na asikushirikishe, au akauza hata kiwanja bila ya mke kujua au kufanya jambo lolote bila kumshirikisha mke wake
Yawezekana Kuna vitu unavyomboa au kumkosesha raha. . Baadhi ya watu kitu kingine kinaweza kuathiri maisha katika mapenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni somo zuri, Lakin hao wanaume unaweza kuwafanyia yote Lakin unakuta Mtu jeuriii, kiburiii hajali na wala hana mapenzi kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ya uvumilivu basi yafanyike Pande zote mbili, mume akimkuta mke anachepuka naye avumilie. Wote tuna mioyo na tunaumia. Sio nikimkuta yeye Nisamehe nivumilie Lakin akinikuta mim talaka siku hiyohiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.