Kwa hiyo hii nchi mpaka mtu aishutmuu serikali au bunge ndio makosa yake na yeye yaonekane ?.mlikuwa wapi acheni kupotosha watu huu mchezo uko wazi pia sasa hivi watu wengi wanajitahidi kuelewa jambo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani tusiende mbali ccm kama si polisi na mahakama na tume ya uchaguzi kweny madaraka tungeshawasahau muda sana hata wao wanajua fika hebu tujaribu mara moja tuweke silaha chini tufuate democrasia ya kweli uone mziki wake.Ila hakuna marefu yasio kuwa ncha .Muda huwa ni hakimu wa kweli.
Sent...
Wewe ni nani hata usienda uwanjani kuona taifa stars maana hakuna anae kutambua endelea na ubaguzi wako wa kijinga wa hali ya juu mpira hauendi hivyo eti mabingwa ,?viwango ndio vinaangaliwa kaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti mnafanyia birthday congo ?.mnashiba keki mnasahau majukumu ya uwanjani kingine kilichowaponza mlivyosikia sikia yanga kapigwa na stand mkafurahia mkasahau mko Congo.Nileteeni dawa inaitwa vumbi congo nitawapa hela.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe bado ni mjinga kweli unakumbuka tu eti simba 5 yanga 0 mie nakumbuka ile mechi yanga alikuwa na migogoro balaa mbaya wachezaji waliharibu ile mechi makusudi kabisa .Mie nashangaa simba kiwango walichoonyesha kwa Algeria sio cha kufungwa goli 5 .Hiyo inaitwa egener soma hiyo......
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.