Recent content by Neek Conqueror

  1. N

    Single mamaz club

    Mbona matangazo ya hicho kipindi yananaelezo ya maswali yako yote ulouliza? Sikiluza na soma promo za ichokipindi vizuri.
  2. N

    Tuliohamishiwa Dodoma, tujadili ndoa zetu

    Wewe unasema dar to dom wakati kuna watu Wapo mtwara na Mwanza na bado ni mume na mke.
  3. N

    Nahitaji maombezi

  4. N

    Nimeamua kubadili nyendo zangu naomba Mungu anisaidie nidumu katika mstari mnyoofu

    Mungu akusaidie uweze kuacha kweli kweli, jitahidi kuwa karibu na Mungu kuwa na ratiba ya kusoma kitabu cha dini yako na kuomba kila siku. Mungu atakusaidia utavuka pia waombee watoto wako ili liroho lisiwafate.
  5. N

    Rasmi kwa ridhaa yangu mwenyewe nimeamua kuacha pombe Eeeh Mwenyezi Mungu nisaidie

    Mungu akusaidie sana na utaweza usisikilize watu wanaokukatisha tamaa kua utarudia, amini kwamba umeacha na hutarudi nyuma.
Back
Top Bottom