Mungu akusaidie uweze kuacha kweli kweli, jitahidi kuwa karibu na Mungu kuwa na ratiba ya kusoma kitabu cha dini yako na kuomba kila siku. Mungu atakusaidia utavuka pia waombee watoto wako ili liroho lisiwafate.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.