Recent content by Nebart Chalaji

  1. Nebart Chalaji

    Prof. Mohamed Janabi Miongoni mwa Wagombea wa Ukurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika

    Kila la Kheri, akaipeperushe vema bendera ya Tanzania.
  2. Nebart Chalaji

    Zitto awajibu Maria na Mshaba akiwahusisha na 'Udini'

    Kama kweli ni zito kaandika hivyo basi watu makini wanaisha na kupukutika kwa kasi sana.
  3. Nebart Chalaji

    Ghana ndio wamemaliza kabisa kuhusu umuhimu wa vitambulisho

    Huko ndio dunia inakokwenda suala la makaratasi itakuwa historia.
  4. Nebart Chalaji

    Pikipiki ya hesabu Dodoma mjini

    Ngoja waje walioko dodoma,Mungu akufanikishe hitaji lako.
  5. Nebart Chalaji

    Kisasi cha Iran kinakuja, Israel wajiandae kisaikolojia

    Huu uzi ni vita kati ya wajahidina na wagalatia😄😄
  6. Nebart Chalaji

    Natafuta mbegu nzuri za Migomba kwa Dar es Salaam

    Sina namba lakini ungepata muda wa kwenda hungejutia.
  7. Nebart Chalaji

    Natafuta mbegu nzuri za Migomba kwa Dar es Salaam

    Jikaze uende SUA Morogoro utapata migomba mizuri na isiyo na magonjwa
  8. Nebart Chalaji

    Linda Doyle Mwanamke alieua Mume wake kisha kujichoma kisu ukeni kudai alikua anabakwa hivyo aliua katika kujitetea

    Wanawake wakitaka kuwa hatari, wanakuwa hatari mno na jamii itawatetea maana hutengeneza mazingira ya kuhurumiwa.
  9. Nebart Chalaji

    Sote tumeshiriki kuua vyama vya upinzani

    Chama cha siasa ni kama binadamu kinazaliwa,kinakua kinapata umaarufu mwishowe kinakufa na maisha yanasonga mbele kama kawaida.
  10. Nebart Chalaji

    Ndugu yangu wa Kiume anaoga baada ya siku mbili, maji yapo ya kutosha. Hii ni kawaida?

    Kama kutokuoga kwake hakukuletei athari achana naye kila mmoja na utaratibu wake.
  11. Nebart Chalaji

    Dkt. Bashiru Ally awakaribisha ndani ya CCM Halima Mdee na wenzake

    Siasa ni kama kifo, siku ukifa unamwagiwa sifa kedekede ambazo hujawahi zisikia.😄😄
  12. Nebart Chalaji

    Wazazi tunatengeneza kizazi cha hovyo sana cha baadaye

    Wanaotengeneza hayo mabomu hawatalipukiwa peke yao bali ni jamii nzima,ndo hao wanaokuja Anza chana madirisha ya watu na kuiba na wengine mashoga kwa sababu walidekezwa na kutokemewa..tunapaswa kuhimizana.
Back
Top Bottom