Hongera mkuu kwa wazo..hakika umeupiga mwingi!
Kuna watu wengi walikosa fursa za kusoma na kufikia malengo yao..hili wazo liwafikie wahusika waone namna ya kufanya!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo we uliona gwanda moja tu pale ya jwtz? Police hukuwaona? Magereza waliochimba makaburi yote zaidi ya 60?fire mpaka uhamiaji wote hukuwaona? Jitahidi kutambua michango ya vyombo vyetu vyote vya ulinzi na usalama kwa mchangao wao mkubwa waloutoa morogoro...hivyo tuseme serikali iangalie...
Kwa kweli tanesco walipaswa kuweka bei moja tu ya units..kama tariff 4 iwe kwa wateja wote siyo hizo bei za kibaguzi,maana wengine tunaishi nyumba za kupanga tunachangia luku lini tutatumia units chini ya 75 ili tushushwe kwenye hiyo tariff 4?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.