Recent content by Ndumbayeye

  1. Ndumbayeye

    TFF Kuchunguzwa na FIFA Migogoro ya Kiuongozi

    Barua imesahau marefa kupangq matokeo na bosi wao kidoo
  2. Ndumbayeye

    Tetesi: FIFA kuifungia Tanzania kufutia saga la mechi ya Simba na Yanga

    simba mlizidi kudeka kwa tff mpaka mkatia kichefuchefu
  3. Ndumbayeye

    Uswahiba baina ya Yanga na CCM unatuathiri mnoo sisi wana Simba

    tff waliposhindwa kuingilia tarehe 8 wamedhihirisha wao ni wahuni sio wa kuwaachia peke yao waamue!
  4. Ndumbayeye

    Tetesi: FIFA kuifungia Tanzania kufutia saga la mechi ya Simba na Yanga

    mnatafuta pa kutokea, hakuna nafuu na li karia lenu
  5. Ndumbayeye

    Uislamu na tamaduni za Kikureshi(Kiarabu)

    Mada hizi zinaongezeka karibu na iddi, kila mtu aabudu anachokiamini!
  6. Ndumbayeye

    Wasiyoyajua Waislamu wengi

    Umekereka sana, kunywa maji kidogo!
  7. Ndumbayeye

    Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

    Wewe hujui chochote dunia inavyoendeshwa, vita unaifuata hukohuko inakotaka kuanzia! unataka mpaka Kagame arushe mabomu kule Karagwe ndio askari wetu waingie kazini!
  8. Ndumbayeye

    2008-2025 JWTZ imezuia mapinduzi ya kijeshi ya Jeshi la Rwanda (RPF) mara 8 ndani ya Burundi

    We jamaa acha kutuchosha, ni nchi ngapi duniani zinatengeneza silaha zake mwenyewe, Urusi anaagiza drones Iran, Israel ana washinda waarabu kwa misaada ya western na ana tuhisa ya ku modify silaha za mmarekani.
  9. Ndumbayeye

    Aina 10 za biashara zinazotapeli mamilioni ya Watanzania na wastaafu

    Kama hujataja kausha damu za kina marwa listi hiyo haina maana!
Back
Top Bottom