Kwa nini mnashinikiza kanisa liwafanyie kazi, mlitakiwa wenyewe muwe front badala ya kutegemea kanisa, walaka mwingine usishangae tarehe 25 Decemba 2025
Umeongea vizuri, mtoa mada siyo muungwana, amejaa hisia na sidhani kama ameomba
Anasema mkopo unatolewa kupitia portal, sasa waombaji kuitwa kwa ajili ya semina anaona ni mpango wa kuombwa rushwa, utaombaje kupitia portal bila kupewa semina?
Hongera kwa kutoa ushuhuda kuwa hakuna rushwa na...
Jamaa bado anakuhitaji sana ndio maana hajaona muda wote huo.
Ingawa hata wewe ndani ya moyo wako bado ananafasi ndio maana hats avata yako ni turudie
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.