Recent content by Ndubwi

  1. N

    Taifa stars vs Mozambique.

    Tanzania tumetolewa nje ya michuano kwa mikwaju ya penat 7kwa 8 waliopata msumbiji
  2. N

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Mimi namkumbuka christian katembo.ngoma za kwetu anaingia studio na manyanga na akianza kutaja jina lake utasikia mnyama tembo,na ndugu zake komba,mbawala,mapunda wapo studio leo! Na anaongea kwa lugha za makabila yote yaan unataman kipindi kiwe kila siku
  3. N

    Vocha ya Airtel ya Tshs 1000/- ....... !!!

    hawa wahindi wanafanya kamari ya kulazimisha.wanajua wanachokifanya wao wanajali faida,wakati hawatazami ubora wa huduma,juzi tu walitupandishia vifurushi vya internet.baada ya kulalamika sana wameturudishia na sasa hili na wizi kutuma pesa kwa kutumia simu.wakiona umetumiwa pesa nyingi...
  4. N

    Masikini Wema Sepetu, Kakumbwa na Balaa Jingine tena!!

    duh kunta kumbe mkali.
  5. N

    Chadema kulikoni? Utitiri wa Vyeo (Mpango madhubuti wa kulindana huku mkibomoa chama)

    Hiyo ndio CHA-DE-MA kama wewe hutokan na mmoja wao.basi hata iwe vipi hupati cheo chochote utabaki kulalamika hivyohivyo
  6. N

    DCI Manumba: Mwakyembe hajalishwa sumu!

    ndio jeshi letu la polis lilivyo
Back
Top Bottom