Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Papag wewe lazima ni Gea Habib duuuh!!!
Leo katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds Redio kinachorushwa kila Jtatu hadi Ijumaa saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana nimesikia kasheshe iliyomkuta Wema ya kugongewa gari lake. Inasemekana kuwa alienda kushoot film katika pub fulani ya Pededjee anaesemekana kutembea nae sasaivi. Mkewe akapata habari akaenda pale pub na Range Rover (Vogue) na kugongagonga gari analotumia Wema wakati Wema akiwa ndo anatoka pale na wasanii wenzie baada ya zoezi la kushoot kushindikana kutokana na kuwepo na watu wengi.Mke wa pededjee huyo amedai ameligonga hilo gari sababu ni gari lao la familia kwahiyo haoni kwann Wema alitumie na kwamba alienda pale kushoot kwa ruhusa ya nani wakati yeye mwenye mali hana taarifa za ujio wake (Wema)?! Isitoshe mke huyo kalalamika kuwa Wema anajigamba magazetini kuwa anatembea na mmewe ana alimpelekwa Dubai na kufanyiwa shopping kali ya mamilioni ya Pesa. Pia inasemekana Wema huwa anaenda pale Pub na wasanii wenzie wanajirusha, wanakula na kunywa then Wema anasaini bill ya zaidi ya millioni na kuondoka bila kulipa.Imefanyika kasheshe kubwa na ishu nzima iko Oysterbay polisi ambapo yule mke aliwekwa ndani. Kwa story kamili kesho saa 5.20 asubuhi tune Radio Clouds kutakuwa na muendelezo wa hekaheka hiyo ambapo Wema atafunguka kuelezea kilichomtokea. Pole sana Wema Sepetu.[/QUOTE
Shida zao hizo; na si tuna zetu tuskilize zao kwa nn?
yaani huyu dada, kaamua maisha yake pia kuyafanyia maigizo mhhh, yaan haishi skendo, mikasa na vituko duhh,
jana kapata valangati huko ndani ya gari yake, sifa zooootteeee, mbwembwe kibao mara Dubai, gari, shopping, kumbe by mume wa mtu, sasa jana sifa NA majigambo zilitaka mtokea puani, nimemkubali sana huyo mke halali, ila sijui huyu kidume atakuwa nani mhhhhh...
hapo ndio ujue kuwa kiasi kikubwa cha pesa za tz ziko kwenye mikono ya watu wasiostahili kuwa nazo!
Papaaa mukuru kuru mutoto wa totozi raisi wa kinondoni......Tupe jina la pededjee
Watu bwana,baada yakujiombea wenyewe ili wafanikiwe kazi kufuatilia maisha ya watu.
Jina la Pededjee halikutajwa......... labda kesho watataja akiwepo Wema mwenyeweTupe jina la pededjee