Recent content by ndonya1

  1. N

    Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

    Kwa hilo,I salute you Mugabe
  2. N

    Uraia wa waTutsi !

    Seems like you are accusing the wrong person,nakushauri pitia tena nilichoandika ila kwa kifupi there was only one genocide in Rwanda and it was a genocide against the Tutsi...and please mkuu do not mention me again in this hate thread,i hope you will respect that.
  3. N

    Uraia wa waTutsi !

    Easy mkuu...easy,hakuna haja ya kupanic,kinachojadiliwa ni taarifa ya serikali ya kukataza wahutu kukumbukwa,ilete kama unayo kutoka source huru na ya kuaminika that is all
  4. N

    Uraia wa waTutsi !

    Source:proxy lake; are you serious?hiyo ni source huru na ya kuamunika kwako?no wonder unakuja na thread kama hii
  5. N

    Kagame atoa onyo kali kwa 'WASALITI'

    Nafikiri toka nijiunge humu sina hata michango inayozidi 10,sasa iyo mingi umeitoa wapi?na kama ni issue ya michango mimi na wewe nani anadeal na haya mambo kuliko mwenzie,je na wewe si mtanzania?zingatia pia hili kati ya posts zangu zote,mbili za hapa uliponileta na takribani kama tatu nne...
  6. N

    Kagame atoa onyo kali kwa 'WASALITI'

    Mkuu naona unaanza kuchoka kujadili na mimi kwakutumia facts,umeanza kuni-mention kwenye vitu visivyo na maana,nafikiri hii ni mbinu ya kunitoa kwenye mada ya msingi ili tuanze kutukanana hovyo.
  7. N

    Uraia wa waTutsi !

    Nimerudi mkuu na this time with a lot of research,tujadili: QUOTE 1: Genocide zinazokubalika bila kupingwa mfano ya wanazi vs wayahudi zilitokana na chuki tu (ukabila, dini n.k kama ulivyosema), hakukuwa na jeshi la wayahudi popote pale lililokuwa linashambulia serikali ya hitler kijeshi...
  8. N

    Uraia wa waTutsi !

    Genocide ni mauaji yanayofanywa na kundi moja la watu kutokomeza uwepo wa kundi lingine kwa misingi ya ukabila,dini n.k sasa unaweza vipi kusema mauaji ya rwanda ya kikabila 94 siyo genocide wakati yalihusisha mpaka vichanga vya siku kadhaa? Halafu kuna sehemu nyingine unaongea kishabiki sana...
  9. N

    Uraia wa waTutsi !

    Mimi nataka nikuamini lakini tatizo kuna sehemu kama unajichanganya,kwa maelezo yako ni kuwa genocide ilifanywa na watutsi halafu unasema tena hero wa filamu ya hotel rwanda ambaye ni mhutu aliokoa watutsi,aliwaokoa kutoka kwenye nini au kutoka kwa nani na wao ndio walikuwa wauaji?ebu tulia na...
Back
Top Bottom